Ni mkuu wa chuo ndiye anayetunuju amejaa tele mkimani city sasahiviYeye ndo mgeni rasmi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mkuu wa chuo ndiye anayetunuju amejaa tele mkimani city sasahiviYeye ndo mgeni rasmi?
Nikiwa katikati ya mapaja ya aliyekuzaa, una swali lingine mkuu?Unateseka ukiwa wapi..?
Amejaa tele mkimani city sasahivi kwenye graduu ya UDSMMungu ampe Afya njema na maisha marefu bado tunamhitaji.
Basi habari hizo zipuuzwe.Ni mkuu wa chuo ndiye anayetunuju amejaa tele mkimani city sasahivi
Mizimu ya 'Chato' na 'Msoga' inaumana.Kwani kulikuwa na taarifa gani?
Makenge ya ufipa mmepoteana naona chama mmekabidhi kwa JKHawa makenge hawatoboi, walifikiri nchi ni ya kabila moja
Mzee yupo anatunuku wahitimu udsm, yupo live, mzma wa afya kabisaMsije baadae mkasema alibadilika ghafla
Aliwahi muzia unga mamako?Kumbe na yeye alisikia kuwa Mze alipaliliwa na bangi majuzi mpaka wanazusha kuwa kalazwa na kachanganikiwa akili kwa ajili ya uvutaji bangi. Ila kumuamini Ridhiwani ni kazi pia maana jamaa anajiita muislam mzuri lakini ni muuza unga mzuri tu.
Povuuu😂😂😂Aliwahi muzia unga mamako?
Waache uzushi usio na tijaNdio kusema?