Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

Hata ukiishi chato sawa

Maisha yangu hayakuhusu, ila huenda ni mazuri kuliko yako mara kumi au zaidi kwa vile unaandika mambo ya mtu asiyekuwa na nyuma wala mbele, wala hafikiri chochote bali kulaumu na kutukana tu.
 
Samia bado hajatamhua hili, bado amewakumbatia watendaji wa mwendazake.
Alitakiwa afumue safu yote kuanzia mfagia uwanja mdeki choo mpaka DG TISS, IGP na CDF.
Aweke washauri wake wapya na watendaji wote ambao watakuwa loyal kwake.

Kikwete ajiongeze nayeye, sukuma gang wanamtuma Musiba aendelee kumuattack yeye na viongozi wengine. Si ajabu wakamfanyia ya kumfanyia wakamuondoa duniani
 
Maisha yangu hayakuhusu, ila huenda ni mazuri kuliko yako mara kumi au zaidi kwa vile unaandika mambo ya mtu asiyekuwa na nyuma wala mbele, wala hafikiri chochote bali kulaumu na kutukana tu.
Uliposema unaishi nje ya nchi inatuhusu nini, vipi kisimbuzi hakisomi card?
 
Umesema vizuri.

Na sie tujiulize kama ni kweli alianzaje.

Huo ulinzi sio jk tu hata huyu mama president alindwe sana.
 
unamfahamu kikwete au unasimuliwa yaani kikwete tofauti nahao migambo waliofarik(waliopitia jeshi kwamujibu).
Kweli jamaa kama aliweza kutembea kutoka Monduli saa sita usiku hadi.....
Simulizi ipo humid bwana sio maneno yangu!
 
Utakuwa miongoni Mwa wapanga uovu
 
Cha kujiuliza kwann kidole kimeelekezwa zaidi kwake na si wengine?
Vp ile hotuba aliyoitoa siku ya msiba wa JPM mbona watu wengi waliguna sana jinsi mzee JK alivyojibu Bila kuulizwa?

Haya mambo nafikiri ndo Mana watu wanajenga wasiwasi japo bado ni maneno tu ya watu.
 
Mataga, sukuma gang, veronica france, chawa, wanufaika, waimba kwaya, wasafisha mikojo still awaamini kwamba dunia huwa inavaa bukta sometimes maana wamekuwa ni zaidi ya wajane.
 
Samia bado hajatamhua hili, bado amewakumbatia watendaji wa mwendazake.
Alitakiwa afumue safu yote kuanzia mfagia uwanja mdeki choo mpaka DG TISS, IGP na CDF...
Tulimshauri Sana mama hili aondoe toxin zote aunde safu yake.Hao jamaa bado wanahasira awaamini ukuu wa Mungu.Mfano mtu alichukua mkopo mkubwa bank akiamini mwendazake atatawala milele leo hana uhakika wa hatima yake na atulipaje mkopo,ukiona kina sabaya wanalia sio Wana huzuni bali ulilia hatma ya maisha yao itakuaje sasa na Kinga imeondoka.

Mtu kama veronica france alitegemea ruzuku milioni 60 KILA mwezi ya kutukania wastaafu, viongozi wa dini,nk leo imeota mbawa ununue usinunue gazeti zake lazima zitoke leo atakupendaje sasa.
 
Pia wapo wanaoamini kifo Cha mkapa kina mkono wa magufuli kwakuwa alikuwa kikwazo Cha kuongezwa muda wa utawala wake
Na wengine wanaamini kifo cha Mwl Nyerere kina mkono Wa Benny mana Mwl alionekana kikwazo kwa Benny ktk kutimiza misheni zake za upigaji Wa ma ten percent!
 
Atakuja elewa akiwa amechelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…