Ridhwani Kikwete awaponda Diamond na Ali Kiba, awapa onyo

Nimemuelewa
 
Huyu bwana hajui chochote kuhusu muziki....

Akacheze anapochezaga.
 
Inawezekana diamond clip, Kibakuli blood. Salamm Suge, manager wa kiba pdidy.
 
Ameonyesha ujuha wa hali ya juu. Amekurupuka ili kuonyesha naye bado yupo nchini kama mheshimiwa. Katika mambo yote nchini ambayo yana umuhimu mkubwa wa kuyazungumzia hili ndiyo kalipa kipaumbele! Kweli akili ni nywele....
Tutajuaje kama anafuatilia music industry
 
Reactions: BAK
Ni sawa na zile kampa kampa tena za Barca uzifananishe na vyura hawa wa jangwani. TUSIPENDE KUFANANISHA ISHU ZA MSING NA MAMBO YA KIJINGA.
 
Hajaongelea Miili ya binadamu wenzetu inayotupwa mto ruvu ?
 
Ameonyesha ujuha wa hali ya juu. Amekurupuka ili kuonyesha naye bado yupo nchini kama mheshimiwa. Katika mambo yote nchini ambayo yana umuhimu mkubwa wa kuyazungumzia hili ndiyo kalipa kipaumbele! Kweli akili ni nywele....
Amesema kwamba yeye ndo alikuwa anawaunganisha wasanii kwa mzee wake ndo maana wakawa wanapata mwaliko kuonana na rais Jk.
 
Reactions: BAK
Hawajafikia huko hao nguchiro kuwalinganisha na watu waliouteka ulimwengu.
 
huyu nae amechanganyikiwa na nini tena? huu mgogoro wa hawa machalii ni kero mojawapo ya wanachalinze? Au anajaribu kufurukuta tu maana awamu hii yupo kama toto wa kambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…