Rigathi Gachagua adinda kujiuzulu, asema bila yeye Ruto asingeingia Ikulu

Rigathi Gachagua adinda kujiuzulu, asema bila yeye Ruto asingeingia Ikulu

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Naibu wa Rais wa Kenya Rigathi Gachagua, amejigamba kwa kudai kwamba yeye ndie pekee aliesababisha na kuchangia pakubwa Rais Dr. William Ruto akashinda uchaguzi wa 2022, la si hivyo bila jina lake kuwako kwenye karatasi za kupigia kura, kamwe asingeshinda urais wa Jamuhiri ya Kenya wakati huo.

Hata hivyo naibu wa Rais huyo wa Kenya, ana mlaumu, na kumtuhumu Rais William Ruto, kwa kupanga njama chafu dhidi yake, ikiwa ni pamoja na kuwafadhili wabunge kwa fedha, ili wambandue kwenye wadhifa wake.

"Acha kuwapa wabunge fedha za kunifukuza kazini, sitakubali jitihada zao. Wanataka nijiuzulu lakini sitaki". Alisema Gachagua kwa lugha yake ya asili.

Gachagua alimtaka Rais Ruto kuheshimu wapiga kura wa mlima Kenya, eneo ambalo anatoka, na kumsihi amuache ahudumu na amalize muhula wake kabla hajamchagua yeyote anaetaka kumchagua wakati wa azma yake ya kuchaguliwa tena 2027.

Hoja ya kumtimua Gachagua ofisini, iliwasilishwa bungeni mnamo Alhamisi Sept.26,2024 huku wabunge 242 wakiridhia na kuunga mkono hoja hiyo.

Tofauti za za kisiasa kati ya Naibu wa Rais huyo wa Kenya na bosi wake Dr.William Ruto ziliongezeka zaidi na kujidhihirisha bayana baada ya maandamano ya Gen z na hatua ya Ruto kumkatibisha hasimu wake wa kisiasa wa muda mrefu serikalini, Raila Odinga na hata kuwajumuisha baadhi ya wanachama wake kwenye baraza la mawaziri.

Gachagua anatuhumiwa kwa kuvunja sheria na katiba ya Kenya, matumizi mabaya ya ofisi, rushwa, ukabila, vitisho kwa watumishi wa umma na Boss wake pia, kugomea maamuzi ya baraza la mawaziri, kupinga sera na na mipango ya serikali na kutoa siri za baraza la mawaziri, kufadhili wahalifu ndani ya maandano ya gen z n.k.

Mpaka hapa unadhani tatizo linaweza kua ni katiba au ubinafsi wa kiongozi huyu mwenyewe?
 
Naibu wa Rais wa Kenya Rigathi Gachagua, amejigamba kwa kudai kwamba yeye ndie pekee aliesababisha na kuchangia pakubwa Rais Dr. William Ruto akashinda uchaguzi wa 2022, la si hivyo bila jina lake kuwako kwenye karatasi za kupigia kura, kamwe asingeshinda urais wa Jamuhiri ya Kenya wakati huo.

Hata hivyo naibu wa Rais huyo wa Kenya, ana mlaumu, na kumtuhumu Rais William Ruto, kwa kupanga njama chafu dhidi yake, ikiwa ni pamoja na kuwafadhili wabunge kwa fedha, ili wambandue kwenye wadhifa wake.

"Acha kuwapa wabunge fedha za kunifukuza kazini, sitakubali jitihada zao. Wanataka nijiuzulu lakini sitaki". Alisema Gachagua kwa lugha yake ya asili.

Gachagua alimtaka Rais Ruto kuheshimu wapiga kura wa mlima Kenya, eneo ambalo anatoka, na kumsihi amuache ahudumu na amalize muhula wake kabla hajamchagua yeyote anaetaka kumchagua wakati wa azma yake ya kuchaguliwa tena 2027.

Hoja ya kumtimua Gachagua ofisini, iliwasilishwa bungeni mnamo Alhamisi Sept.26,2024 huku wabunge 242 wakiridhia na kuunga mkono hoja hiyo.

Tofauti za za kisiasa kati ya Naibu wa Rais huyo wa Kenya na bosi wake Dr.William Ruto ziliongezeka zaidi na kujidhihirisha bayana baada ya maandamano ya Gen z na hatua ya Ruto kumkatibisha hasimu wake wa kisiasa wa muda mrefu serikalini, Raila Odinga na hata kuwajumuisha baadhi ya wanachama wake kwenye baraza la mawaziri.

Gachagua anatuhumiwa kwa kuvunja sheria na katiba ya Kenya, matumizi mabaya ya ofisi, rushwa, ukabila, vitisho kwa watumishi wa umma na Boss wake pia, kugomea maamuzi ya baraza la mawaziri, kupinga sera na na mipango ya serikali na kutoa siri za baraza la mawaziri, kufadhili wahalifu ndani ya maandano ya gen z n.k.

Mpaka hapa unadhani tatizo linaweza kua ni katiba au ubinafsi wa kiongozi huyu mwenyewe?
Tatizo ni Ruto

Aligombana na Raila

Aligombana na Uhuru

Anagombana na Gachagua
 
"

Gachagua alimtaka Rais Ruto kuheshimu wapiga kura wa mlima Kenya, eneo ambalo anatoka,
"Watu wa Mlima", hiyo ni kati ya kauli inayomgharimu sana na anapenda sana kuitumia.
Sehemu kubwa ya kauli zake ni kama anaigawa nchi.
Anakasirika Ruto kumuita Raila inaonyesha hana ukomavu na hafai kuwa kiongozi. Alitaraji waemdelee na mipasho ilihali unajua unayeshindana naye ni almost mna nguvu na influence sawa? Kwa faida gani?
 
Hata Uhuru alikuwa haelewani na Ruto baada ya kuingia Ikulu.
 
Hata Uhuru alikuwa haelewani na Ruto baada ya kuingia Ikulu.
wakati wa kibaki Ilikua tofauti kidogo ugomvi na uhasama ulikua baina RAIS kibaki, waziri mkuu Raila na waziri wa kilimo wakati huo Ruto 🐒
 
Nilisema siku moja hii ya kumuondoa Gachagua ni 'move' hatari sana kufanywa na serikali ya Rutto na inawezekana Gachagua akaungana na Odinga kumsaidia Odinga kuingia ikulu, nani anayejua ya Kesho. Kenya ilihitaji uponyaji wa kiroho na Gachagua ndio mtu sahihi kuleta uponyaji huo
 
Ruto
Naibu wa Rais wa Kenya Rigathi Gachagua, amejigamba kwa kudai kwamba yeye ndie pekee aliesababisha na kuchangia pakubwa Rais Dr. William Ruto akashinda uchaguzi wa 2022, la si hivyo bila jina lake kuwako kwenye karatasi za kupigia kura, kamwe asingeshinda urais wa Jamuhiri ya Kenya wakati huo.

Hata hivyo naibu wa Rais huyo wa Kenya, ana mlaumu, na kumtuhumu Rais William Ruto, kwa kupanga njama chafu dhidi yake, ikiwa ni pamoja na kuwafadhili wabunge kwa fedha, ili wambandue kwenye wadhifa wake.

"Acha kuwapa wabunge fedha za kunifukuza kazini, sitakubali jitihada zao. Wanataka nijiuzulu lakini sitaki". Alisema Gachagua kwa lugha yake ya asili.

Gachagua alimtaka Rais Ruto kuheshimu wapiga kura wa mlima Kenya, eneo ambalo anatoka, na kumsihi amuache ahudumu na amalize muhula wake kabla hajamchagua yeyote anaetaka kumchagua wakati wa azma yake ya kuchaguliwa tena 2027.

Hoja ya kumtimua Gachagua ofisini, iliwasilishwa bungeni mnamo Alhamisi Sept.26,2024 huku wabunge 242 wakiridhia na kuunga mkono hoja hiyo.

Tofauti za za kisiasa kati ya Naibu wa Rais huyo wa Kenya na bosi wake Dr.William Ruto ziliongezeka zaidi na kujidhihirisha bayana baada ya maandamano ya Gen z na hatua ya Ruto kumkatibisha hasimu wake wa kisiasa wa muda mrefu serikalini, Raila Odinga na hata kuwajumuisha baadhi ya wanachama wake kwenye baraza la mawaziri.

Gachagua anatuhumiwa kwa kuvunja sheria na katiba ya Kenya, matumizi mabaya ya ofisi, rushwa, ukabila, vitisho kwa watumishi wa umma na Boss wake pia, kugomea maamuzi ya baraza la mawaziri, kupinga sera na na mipango ya serikali na kutoa siri za baraza la mawaziri, kufadhili wahalifu ndani ya maandano ya gen z n.k.

Mpaka hapa unadhani tatizo linaweza kua ni katiba au ubinafsi wa kiongozi huyu mwenyewe?
2027
N mtu wa Mungu
Kama sio yeye na watu wa Mt Kenya usingefika hapo ulipo ma friend
Gachagwa hatanii
Mwache amalixe mda wake na muwache kutuhadaaa mko karibu na Mungu kumbe mnachuki zenu binafsi
 
Nilisema siku moja hii ya kumuondoa Gachagua ni 'move' hatari sana kufanywa na serikali ya Rutto na inawezekana Gachagua akaungana na Odinga kumsaidia Odinga kuingia ikulu, nani anayejua ya Kesho. Kenya ilihitaji uponyaji wa kiroho na Gachagua ndio mtu sahihi kuleta uponyaji huo
watermelon Senior Counsel Kalonzo Musyoka anaimendea nafasi hiyo na jukumu hilo muhimu ikiwa Raila atafanikiwa kuukwaa uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Africa ambao anapigwa tafu na Ruto aupate 🐒
 
Wasio na Historia ya Daniel Moi, hawataweza kuwelewa Ruto.
Ruto = Moi
Mkuu jamaa alikuwa ktk wale vijana walibawaya ukiwa against moi wanakumaliza
Mda ukafika mzee akataka kuendelea na madaraka wakamwambia imetoshaaa
Hakuamini mzee wetu...kijana na eenzie wakawa na vision ya polepole

Muulize kenyatta uhuru anamjua vizuri ruto
Hata ule utoto ukiochexwa wa kuseparate kunhnuniana ulikuwa maigizo wakenyawenye C2 waliueleewa
 
Ruto

2027
N mtu wa Mungu
Kama sio yeye na watu wa Mt Kenya usingefika hapo ulipo ma friend
Gachagwa hatanii
Mwache amalixe mda wake na muwache kutuhadaaa mko karibu na Mungu kumbe mnachuki zenu binafsi
hivi GACHAGUA nje ya county yake ya Nyeri anaeleweka kweli? Sawa tu na Kalonzo Musyoka nje ya Ukambani hasa machakos huwa haelewekagi, ni light mno 🐒
 
watermelon Senior Counsel Kalonzo Musyoka anaimendea nafasi hiyo na jukumu hilo muhimu ikiwa Raila atafanikiwa kuukwaa uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Africa ambao anapigwa tafu na Ruto aupate 🐒
Labda kamishen ya tume ya uchaguzi
Kule asahau
 
Back
Top Bottom