miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
hata me ninaelekea huko mkuu sema naweza kuwa nishafikisha 38 na kuitwa mama asiyejielewa ngoja nianze mazoezi ya kukataa uzeeU can,jithidi tu ila bilionea hukutana na bilionea,Rihanna pesa ipo
ila Mungu ni warehema kweliUkaidi wetu bianadam
Ha ha ha ha upate wapi?? Nenda ka google uone kama hata ananusa hukoDuuu sasa huo u gold digger unakuja vipi? Unataka kuniambia Rihanna hana nusu ya utajiri wa huyo Mwarabu...
Au basi tuseme walau Dola 400M?
Haha labda Ibiza na pattaya ndio utawakuta hukoshindwa pepo nimeanza kupata hizia za kujifunza kuvaa uchiuchi ati naweza pata libilionea
Huyo ni playboy tu uarabuni matajiri na viongozi serikalini ndio wanaitwa Sheikh haijalishi ni mtu wa ibada sana au laPamoja na hayo huyu USTADH atakubali huyo kifyetu wake apande jukwaani nusu uchi?
Hawa watu wana vituko kweli. Rianna atatulia kweli
Ha ha sawa mkuuHaha labda Ibiza na pattaya ndio utawakuta huko
Lakini sio beach yetu
Na wacheza visingeli....wanaume wa bongo njaa tu.Sis tutaendelea kupata tu vibaka
Tujuze tusiojua. Kisa cha Janet na Mwarabu wakeWewee, mwarabu anapungwa tu hapo. Au hujawahi kusikia kisa cha Janet Jackson na mwarabu wake?
HahhahahhahahNa wacheza visingeli....wanaume wa bongo njaa tu.
Kweli tupuHapo hamna ndoa.... Waarabu ni mijitu ya hovyo sana... Hapo ukute ndugu zake wa karibu wanamwambia achana nae huyo kafiri.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huwaga najiuliza...diamond angekua fukara zari angemuona?? Wema angemuona??
Wakuu tutafute pesa!!
Yah ndivyo wanavyoitana hivyo sio tu viongoz hata wazaz wa kiume huwa wanawaita hivyo vijana wao wa kiume sheikh flanHuyo ni playboy tu uarabuni matajiri na viongozi serikalini ndio wanaitwa Sheikh haijalishi ni mtu wa ibada sana au la
Alishatembea na Naomi Campbell na sasa Naomi na ri hawaongei
Hicho ndicho ninachowapendea waarab wa dubai maadil kwao zero yaan hawabagui hawachagui wao twende kazi any way ila namsikitikia kwa kujipatia baby mwenye pesa ila mashine ya kusaga kukoboa na umwagiliaji haitamtosha mashine zao ndogo sana yaan
Huyu mwarabu wa SAUDIAHicho ndicho ninachowapendea waarab wa dubai maadil kwao zero yaan hawabagui hawachagui wao twende kazi any way ila namsikitikia kwa kujipatia baby mwenye pesa ila mashine ya kusaga kukoboa na umwagiliaji haitamtosha mashine zao ndogo sana yaan