Rihanna Hana makosa kuvaa nguo za Masista

Rihanna Hana makosa kuvaa nguo za Masista

Am For Real

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
323
Reaction score
770
1713041896261.png

Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo.

Watu ilibidi waelewe kwanini Rihanna kaamua kuvaa vile na sio kuleta makasiriko yasiyo na maana.
 

Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo.

Watu ilibidi waelewe kwanini Rihanna kaamua kuvaa vile na sio kuleta makasiriko yasiyo na maana.
Wewe mbona haujaeleza kwa nini alivaa hivyo?
 
Kwa jamii zilizostaarabika: dini zina haki ya kupondwa, kukosolewa na kudhihakiwa.
Siasa zinakupa ujinga ,maisha ya watu wewe uponde ili upate nn ? Kama hufuati achana nayo ..Hizo mentality zako za kisiasa utakuja kupata tabu sio kila kitu cha kukosa

Ona vita kubwa duniani kwa kuingilia maisha ya wengine kujifanya unajua ...Kukosa hekima na kutojitambua ndio chanzo cha kuleta umuhimu kweny maisha ya watu ...Fanya yanayo kuhusu .!
 

Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo.

Watu ilibidi waelewe kwanini Rihanna kaamua kuvaa vile na sio kuleta makasiriko yasiyo na maana.
Kwa hio ASAP Rocky nae avae kanzu za Mapadrii alafu abebe Bible kisha wawabebe watoto wao mikononi hapo itakua imekaa Sawa sana kwamba Padrii ASAP Rocky anamgonga Sista Rihanna na kumzalisha watoto
 
Back
Top Bottom