Rihanna Hana makosa kuvaa nguo za Masista

Una-catch feelings haraka sana.

Dini zinaongozwa na binadamu, hata kama mnaaminishwa ni kwa divine inspiration.

Na as long as mwanadamu anahusika lazima tu kutakuwa na weaknesses: ulawiti, mauaji, ugaidi, n.k.

Yote haya yanazifanya ziwe vulnerable na zistahili kukosolewa, kudhihakiwa, kupondwa, n.k.

Hebu kuwa rational, acha kuona mambo kwa hisia.
 
Rihanna angelamba lips tu hizo zilizonona alafu kuwe km kuna katone ka damu kanamdondoka hivi mdomoni ingekua mutafaruku zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…