Ukristo sio vazi ye hata angeshona kama Yale ya papa akavaa sawa kumfatilia ni kumpa unnecessary attention ambayo kimsingi ndiyo alikuwa anatamani
We unasema huyo huko kwenye porn site Kila vazi limevaliwa na wafanya ngono uniform za shule,jeshi,rubani,hizo nun clothes ,hijabu ,nikabu ,kanzu etc zote zimevaliwa hayo ni mavazi tu