kwa chriss brown alichezea mabanzi mpaka domo lake likavimbaBora hata Shakira alidumu na Pique miaka 11 na kupata nae watoto wawili ila Rihanna sasa ndio anagawa papuchi balaa
Akina Drake, Breeze, Asap
Kaamua baada ya kuzunguka sana azae na Asap
Hivi kweli hii pisi yangu ya Uyole ina vidole kama matoleo ya viazi vitamu,Kila mtu mrembo matunzo tuu, jitahidi kumtunza pisi yako huone atakavyo ng'aa kuzidi Rihanna,
Kwani bwana wake rihana ana sh ngapi?sina hela naendaje nao sasa
Mpeleke saloon akapigwe mekapu halfu uone kama utamjuwaHivi kweli hii pisi yangu ya Uyole ina vidole kama matoleo ya viazi vitamu,
Sura ya babu yake,
Miguu kama anachezea mtibwa sugar,
Matundu ya pua kama mviringo wa kondom,
Tumbo na tako vinashindana ukubwa,
Nywele zimesimama kama zinajiandaa kushindana marathon,
Ndo uniambie matunzo kweli ifanane na Shakira?
Tuweni serious wakati mwingine wakuu
Kwani Rihanna anatuzwa wanawake punguzeni kufikiria kutunzwa mudawote fikirieni na kujitunza piaKila mtu mrembo matunzo tuu, jitahidi kumtunza pisi yako huone atakavyo ng'aa kuzidi Rihanna,
Katika hawa watu wewe unakwenda na yupi
Hawa ndio warembo ambao dah nawakubali sana
Rihanna sio mzuri ila anavutia kwa baadhi ya watu, labda shakira ndo ana universal beauty, pamoja na beyonceKatika hawa watu wewe unakwenda na yupi
Hawa ndio warembo ambao dah nawakubali sana
Unakaa mji gn?Wanawake warembo siku hizi wameadimika mno.
Kipindi cha ujana ilikua mtu unatembea kilometa kadhaa kufuata mtu.
Yaani dunia nzima jamaa kawataja wawili tu ndio ujue kuwa wameadimika.
Nipo dar mkuu.Unakaa mji gn?
Tembea dsm kila kona pisi ang'avu
That's another topic.zimeshatumika mno
Nadhani huja elewa nime lenga nini hasa, mtu ambae anapendezesha mwili kuanzia nywele hadi ngozi ni tofauti na asiye shughulikia mwili wake.Kwani Rihanna anatuzwa wanawake punguzeni kufikiria kutunzwa mudawote fikirieni na kujitunza pia
Akyamungu tena sijawahi kumuelewa Rihanna wala watu wanaompamba. Binafsi Rihanna naweza nikaoga naye na nikampaka sabuni bila kumfanya tendo (yaani bila kumpiga tukio)Katika hawa watu wewe unakwenda na yupi
Hawa ndio warembo ambao dah nawakubali sana
Mi naona Rihanna wa kawaida sana eti
[emoji23][emoji23]sina hela naendaje nao sasa