Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Neno lako sio sheria bro,Hii ndo sababu show iliangaliwa na watu wengi, lkn haikua na maajabu yyt. Narudia tena kwa mara ya mwisho, Audience tu ilikua imem-miss
Soon Mamaa sooooonNikizaa Mtoto wa Kike nitamuita Rihanna [emoji3059]
Neno lako sio sheria bro,
Show ilikua bomba hata namba zinasema [emoji3]
Sisi wabongo hatununui kitu, ukifanya show afu uoneshe kwa TV mtu anaangalia kwa TV.Hilo Tamasha la Super Bowl halftime show wasanii wote waliopita hapo akiwemo Beyonce hua hawalipwi ila wanachofanya ni kugharamia mahitaji yote ya msanii katika tamasha hilo.... Malipo hujitokeza pale msanii husika atapanda chat kwenye mainstreams zote mfano nyimbo za Rihanna kama Rude Boy zimepanda na hata manunuzi ya bidhaa zake yamepanda......
Kuwalaumu wasanii wa bongo ni kuwaonea tu maana hata tamasha la aina hiyo hawana pia hakuna guarantee kama watarudisha fedha zao mashabiki wenyewe ndio sie tunaolia bando limepanda.
Ile show ni hatari kuanzia stage set up, zile crane zilivyokuwa zinapishana. Lights, dancersSema wewe humpendi Riri lakini Dunia nzima imeielewa ile show na ameprove once more she is a Queen
Ukute ndo perfomance pekee umewahi onaIle ya mwaka 2022 the best Superbowl perfomance ever
Ndio hiyohiyo ndugu yanguUkute ndo perfomance pekee umewahi ona
"WAJUANI" lazima walete "UJUAJI"Naona wajuani wameingilia kambi
Ruge alikuwa anafanya biashara ya music entertainment, yaani inategemea muziki na wanamuziki, tofauti na soka/nfl hata muziki usipokuwepo bado watu wataangalia burudani kuu waliyoifuata.bongo njaa nyingi sana : fiesta tu ya ruge ilileta tafrani kubwa sana,
Halafu utasikia kesho Rihanna kawasemea mbovu LGBT community, mara unasikia ana worth US$ 500 million. Utajiri wa ajabu sana huu. Yaani she is no longer a billionaire.Yes haulipwi hata mia, NFL wenyewe wanachofanya wanaigaramia ile maandaliz ya show, tiket ya ndege na vitu kama hivyo, sina uhakika na riri kuigharamia show yeye mwenyewe. Ila show ya Super Bowl huwa ina spike music sales za nyimbo za hao wasanii, justin timberlake aliwah perfome music sales zika spike mpaka 584%, lady gaga nae zikaenda mpaka 1000% so basically its all about money. Kisanii sasa incase bad gir riri anataka kudondosha album aidondoshe now sababu ile show imeangaliwa na watu wengi kuliko watu waloangalia main event, kama anataka kurud kwenye game muda ndio huu although she has Fenty and its doing great, and well, now she worth 1.4B, richer that hov who brought her to the mainstream industry..
Si unaona Ye mzee, kapagawa na sio billionaire tena... Yale ma kadarshian yana kama laaana sana yale,Halafu utasikia kesho Rihanna kawasemea mbovu LGBT community, mara unasikia ana worth US$ 500 million. Utajiri wa ajabu sana huu. Yaani she is no longer a billionaire.
[emoji23][emoji23][emoji23]bongo njaa nyingi sana : fiesta tu ya ruge ilileta tafrani kubwa sana,
Ilibamba ukizingatia hajafanya show muda mrefu… em fikiria miaka yote hiyo na kuna wasanii wakali (currently) wakaachwa kapewa yeye na kufanya aliyofanya.Ila bado haijafikia Superbowl ya mwaka jana 2022 ya Dr.Dre,Slim Shaddy,50 cent,Mary blidge na Kendrik lamar
Snoop Dog, Eminem, 50 cent[emoji91][emoji91][emoji91]Ila bado haijafikia Superbowl ya mwaka jana 2022 ya Dr.Dre,Slim Shaddy,50 cent,Mary blidge na Kendrik lamar