Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Dinosaurs leo tunasoma walikuwepo napata shida kuhusu sisi wanaume kwa mwendokasi huu vizazi vijavyo sijui itakuwaje!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BuhahahahaAnakata mauno huyo rio balaa
Hao wapuuzi ndio wanafanya watu wawe na mtazamo wa kufikiri kila mbunifu wa mavazi na wanamitindo wa kiume ni mashoga mbona wenzao wakina Martini kadinda na Sheria Ngowi hawana skendo za kijinga hivyo na wanafanya kazi kimataifa mbaka wamekuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wenzao!
Ukweli upi vijana wanapiga kazi wao wanakuja kuwachafua huku kwasababu tu ya muonekano waoHachafui anaongea kilichopo kweli
Hayo ni maneno ya wasanii wahuni ambao hawana mbele wa nyuma mziki wao haulipi sasa naona wameanza kuingiza na mipasho si aende jahazi akachukuwe mikoba ya mzee yusufu!Mshamba utaachwa ukishangaa kumuona martin kadinda
Khaaaaa kweli wanaume wanazidi kupotea. Mungu bariki matumbo yetu
Kiongozi nakubali kabisa wanachapa kazibhao vijana hui uoande mwingine ngija niishie hapohapo nilipo comment.....hapa kazi tuUkweli upi vijana wanapiga kazi wao wanakuja kuwachafua huku kwasababu tu ya muonekano wao
yalikuwa mapito tu,napo sio kwamba nilimfata,aliingia room nilikuwa nimelala nimevaa boksa,nikiwa usingizini nikahisi nachexewa dudu,niliposhituka nikamuona yeye kwenye bed yangu,nkamuuliza we vp? akawa anachekacheka,kwa kumjua tabia yake shetani akataka kuchukua nafasi,ni miaka kumi imepita,sina tabia hiyo.Ushafanya kwa wengine?
Amina...Mungu atakase vizazi vyetu. Sikuhizi hata kuzaa mtoto wa kiume unaogopa.Khaaaaa kweli wanaume wanazidi kupotea. Mungu bariki matumbo yetu
Yani unaogopa mno jamaniAmina...Mungu atakase vizazj vyetu. Sikuhizi hata kuzaa mtoto wa kiume unaohopa.
Kwa hiyo hili bandiko lao ni kwa hisani ya Coral Paints?Huyo mwingine mwondoe hapo. Namjua jamaa mmoja alisema alikuwa anachezea tope wakati ule bado kibonge pande la baba. Alisema jamaa eti lilikuwa na masaburi laini sana na likitingwa na muhogo sawasawa linalia na kujinyonga nyonga balaa. Ajabu ni kwamba jamaa alikuwa pia anam-date dada mtu tena binti mzuri kweli kweli wa kidosi. Kumbe akawa anakula na kakake. Hawa wanamitindo sijui wanataka nini hawa!
kuna jamaa nilimhack kiakili sana..nika hack akili zake hadi conversation hadi namba...nkafanya upelelzi nkapata mia kwamia..anavila sana hivi vitoto vya kiume....sa hivi anadai anaacha amekolea kwa mrembo fulani..facts n true nilishangaa sana..maka akawa anonesha namba na sura mzao hao..wapo wengi hao duh...maajabu...Amina...Mungu atakase vizazi vyetu. Sikuhizi hata kuzaa mtoto wa kiume unaogopa.
Martini kadinda hahahahHao wapuuzi ndio wanafanya watu wawe na mtazamo wa kufikiri kila mbunifu wa mavazi na wanamitindo wa kiume ni mashoga mbona wenzao wakina Martini kadinda na Sheria Ngowi hawana skendo za kijinga hivyo na wanafanya kazi kimataifa mbaka wamekuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wenzao!
Hahaaa mwambie huyo mtoa post aingie chimbo kidogo kuhusu hao wote aliowataja atarudi na mafaili ya kutosha, kuwa mwanamitindo wa kimataifa hakumaanishi Yuko salama, mbona Rio pamoja na yote alichaguliwa kuwa mbunge wa bunge la vijana E.AMartini kadinda hahahah