Rio aporwa bwana na rafiki yake

Rio aporwa bwana na rafiki yake

Dinosaurs leo tunasoma walikuwepo napata shida kuhusu sisi wanaume kwa mwendokasi huu vizazi vijavyo sijui itakuwaje!
 
Hao wapuuzi ndio wanafanya watu wawe na mtazamo wa kufikiri kila mbunifu wa mavazi na wanamitindo wa kiume ni mashoga mbona wenzao wakina Martini kadinda na Sheria Ngowi hawana skendo za kijinga hivyo na wanafanya kazi kimataifa mbaka wamekuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wenzao!


Mshamba utaachwa ukishangaa kumuona martin kadinda
 
Mshamba utaachwa ukishangaa kumuona martin kadinda
Hayo ni maneno ya wasanii wahuni ambao hawana mbele wa nyuma mziki wao haulipi sasa naona wameanza kuingiza na mipasho si aende jahazi akachukuwe mikoba ya mzee yusufu!
 
nilishakaa mkao wa kula mkuu,hp akatokea room,yan mafumanizi yalikuwa mengi mpaka alipofika kidato cha tatu ikabidu ahamishwe shule kwa tabia yake,akahamia dar ,nahisi makongosekondari ,mi namuangalia tu.
Ushafanya kwa wengine?
 
Ushafanya kwa wengine?
yalikuwa mapito tu,napo sio kwamba nilimfata,aliingia room nilikuwa nimelala nimevaa boksa,nikiwa usingizini nikahisi nachexewa dudu,niliposhituka nikamuona yeye kwenye bed yangu,nkamuuliza we vp? akawa anachekacheka,kwa kumjua tabia yake shetani akataka kuchukua nafasi,ni miaka kumi imepita,sina tabia hiyo.

Sent from my Magnus bravoZ10 using JamiiForums mobile app
 
Huyo mwingine mwondoe hapo. Namjua jamaa mmoja alisema alikuwa anachezea tope wakati ule bado kibonge pande la baba. Alisema jamaa eti lilikuwa na masaburi laini sana na likitingwa na muhogo sawasawa linalia na kujinyonga nyonga balaa. Ajabu ni kwamba jamaa alikuwa pia anam-date dada mtu tena binti mzuri kweli kweli wa kidosi. Kumbe akawa anakula na kakake. Hawa wanamitindo sijui wanataka nini hawa!
Kwa hiyo hili bandiko lao ni kwa hisani ya Coral Paints?

"Ni laini na ni lazima ushike ,Coral paints "
 
Amina...Mungu atakase vizazi vyetu. Sikuhizi hata kuzaa mtoto wa kiume unaogopa.
kuna jamaa nilimhack kiakili sana..nika hack akili zake hadi conversation hadi namba...nkafanya upelelzi nkapata mia kwamia..anavila sana hivi vitoto vya kiume....sa hivi anadai anaacha amekolea kwa mrembo fulani..facts n true nilishangaa sana..maka akawa anonesha namba na sura mzao hao..wapo wengi hao duh...maajabu...
 
Huyo dogo kaulamba bunge la AFrika mashariki?
 
Hao wapuuzi ndio wanafanya watu wawe na mtazamo wa kufikiri kila mbunifu wa mavazi na wanamitindo wa kiume ni mashoga mbona wenzao wakina Martini kadinda na Sheria Ngowi hawana skendo za kijinga hivyo na wanafanya kazi kimataifa mbaka wamekuwa mfano wa kuigwa kwa vijana wenzao!
Martini kadinda hahahah
 
Martini kadinda hahahah
Hahaaa mwambie huyo mtoa post aingie chimbo kidogo kuhusu hao wote aliowataja atarudi na mafaili ya kutosha, kuwa mwanamitindo wa kimataifa hakumaanishi Yuko salama, mbona Rio pamoja na yote alichaguliwa kuwa mbunge wa bunge la vijana E.A
 
Back
Top Bottom