Rio aporwa bwana na rafiki yake

Hahaaa mwambie huyo mtoa post aingie chimbo kidogo kuhusu hao wote aliowataja atarudi na mafaili ya kutosha, kuwa mwanamitindo wa kimataifa hakumaanishi Yuko salama, mbona Rio pamoja na yote alichaguliwa kuwa mbunge wa bunge la vijana E.A
Duh kwa hyo chk anatuwakilisha

Ova
 
Noel baada ya kumpima huko Mndukuni katulia Sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii comment itoe sahivi tena,
 
Acha Mama Mungu abariki sana vizazi vyetu uyo rio kwao wanahela hatar baba ake alivyojua ni shoga alimtolea bastola ndo kukimbia kwao kimoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had machoziii, kumbe kweli ila yeye alikataa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguuu mie, uwiiiiiiih
 

"Mjinga utabaki unashangaa kumuona martin Kadinda" - Fid Q.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…