Rio aporwa bwana na rafiki yake

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] kwa kunichekesha

Mijanaume mingi siku hizi ni machoko yanapenda kuigaiga lifestyle za watu mpk yanaliwa viboga vyao
 
martin tunamshuku tena sana tu..
martin, wema anavaa mbele take na wala hashtuki...
demu wa martin hatumjui?
pozi zake ?? mfatilie
labda huyo sheria ngowi.!!.
afu rio ndo mwanamitindo ambae international kwa sasa...
mie martini tumekua na kusoma wote bweni tosamaganga ni aibu ,vijana wamepiga sana mi mwenyewe nusu nipige,tukafumwa na hp,
Makubwa haya daah. eeh mwenyezi Mungu tusaidie
 

We nae uko mmbea kweli...
 
Martin Kadinda [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] sijui Sheria Ngowi
 
hahaha msg imefika majimama wakuchek ...mbinu ya kistyle ya fikisha ka msg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…