Rio Olympics 2016: 31st Games set for opening ceremony

Rio Olympics 2016: 31st Games set for opening ceremony

Mpaka sasa nawaona wasichana wa kifaransa wakitoa presha kubwa sana kwa Wamerakani. Huwa nawaaminia sana wasichana wa kimarekani kwenye mpira wa miguu ila nadhani mpaka sasa hivi wamekutana fupa lililomshinda fisi.
 
Nadhani wasichana wa kimarekani hawatawasahau wafaransa kwenye mpira wa miguu kwani ingawa wameshinda, walikuwa under pressure sana kuliko katika mechi zote nilizowahi kuwaona wakicheza.
 
Team Tanzania vipi, hakuna mwenye update yoyote.
 
dah! wachina wasichana wamefanya kweli dhidi ya Afrika ya kusini kipindi cha kwanza mpira wa miguu. Ngoja tusubiri kipindi cha pili sasa.
 
Afrika ya kusini inafanya makosa mengi sana ya kukatisha tamaa! Ila Goalie wa SA yuko fit sana.
 
..... Aah! basi tena, wachina wameshinda sasa kwa hii long distance kick waliyopata!
 
Team USA imewaonea sana wachina kwenye basketball wanaume. Waliwafanya wachina waonekane kama kindergarten wanaocheza dhidi ya high school!
 
Mi nipo naangalia tennis wanawake first round, yaani Venus Williams anasumbuliwa na huyu msicha seti ya tatu hii na huenda akatolewa.
 
Venus kashazeeka huyu, hii seti ya tatu alikuwa anaongoza game 4 kwa 1. Lakini sasa wanacheza Tie-Break. SMH
 
Venus anapigwa hii Tie-Break. Na hii ndio Olympic yake mwisho. She's killing me
 
Venus hizi backshot za kuchukua point anapoteza vibaya vibaya.
 
Venus Williams katolewa first round kama ilivyokuwa Wimbledon. Game ilikuwa yake hii, sema umri unamtupa mkono. Bora atundike tu racket atafute bwana wazae watoto. Maana inaumiza sana kuona Legend anapigwa na hivi visichana kila siku
 
Mi nimemaliza kuangalia Soccer Colombia VS New Zealand wanawake ambapo NZ wameshinda 1-0.
Na Pia nimeangalia gymnast ambapo kuna Huyu mfaransa ameumia vibaya Sana
rench gymnast Samir Ait Said was carried away on a stretcher after breaking his leg when landing a vault move at the Rio Olympics.

1470519039203.jpg
1470519039203.jpg
 
SWIMMING.
men's 400 m individual medley
Japan gold medal
Wapili USA silver medal
bronze medal Japan.
Naona wa Japan wamekuja na gia zote trip hii.

men's 400 m freestyle final.
Australia -Gold
China-Silver
Italy-bronze

women's 400 m Individual medley
Hungary- Gold (New world record 4.26.36)


men's 100 m breaststroke.
Japan
Usa
Brazil.

women's 4 times 400'm freestyle relay
Australia ( New world record 3.30.65)
USA
Canada
 
Rio Olympics 2016: Caster Semenya ditches 400m to focus on 800m

  • 4 hours ago
_90692884_semenya_reuters.jpg

Semenya achieved Olympic qualifying times in winning 400m, 800m and 1500m at her national trials
South Africa's Caster Semenya will not run in the 400m at the Rio Olympics to focus on winning gold in the 800m.

There had been a suggestion she would attempt the double in Rio after winning the 400m, 800m and 1500m on the same day at the South African trials.

Semenya, 25, is unbeaten over 800m this season and posted a world leading time of one minute 53.33 seconds at July's Diamond League meeting in Monaco.

She was subject to gender testing after winning world 800m gold in 2009.

Semenya was cleared to compete by the International Association of Athletics Federations in 2010 after being sidelined for 11 months while she had tests.

She won silver at the 2011 World Championships and 2012 Olympics, but she failed to qualify for last August's world final, finishing last in her semi-final in 2:03.18.

Semenya has recorded three of the four fastest times in the world this year and her world-leading time lowered her personal best by more than a second.

New regulations requiring female athletes to take testosterone-lowering medication if their natural levels were above the legal mark were suspended for two years by the Court of Arbitration for Sport last July.
Naskia alioa kabisa
 
Shukrani sana afrodenzi. Nimeshangaa sana hata Burundi pamoja na matatizo yao yote ya machafuko ndani ya nchi na kutokuwa na rasilimali nyingi kama Tanzania wamepeleka wanariadha 10 na population yao ni 10 million, sisi wenye polupation ya 49 million na rasilimali chungu nzima walionyesha tumepekeleka wanariadha 7 tu. Kama sikosei idadi ya wanariadha wetu walioenda Rio tumewazidi Somalia kwa wanariadha wawili au watatu hata Somalia jamani!!!! Duh!!!! Kweli nchi hii michezo haipewi kipaumbele kabisa. Najua wewe mpenda Rugby huu mchezo nimejaribu kuufahamu lakini umenipiga chenga. Ukanifunga kamba kwamba utanipa tuition ya nguvu ili niufahamu lakini hadi hii leo bado sijaujua lol!
Nami natamani kuujua aisee
 
Yaani mi imenibidi nitafute nchi nyingine ya Ku support TZ wameniudhi sana. Halafu walivyo vaa matisheti makubwa
ya njano nchi nyingine nyingi wamevaa nguo zao za Traditional wamependeza kweli. Ila Tanzania aibu tu kwa kweli.

Kuhusu rugby lol kesho nitakufundisha maana leo niko busy hahahahahhaha lol
Ni super rugby final leo Hurricanes (NZ) VS Lions (RSA). na nikisahau hakikisha unanifuata
kule mahali. Maana world cup ikianza nataka uwe umeelewa kila kitu ili nikianzisha thread
kuwe na mtu wa ku comment lol😀😀😀😀😀😀😀
Nami natamani kuujua ule mchezo uchezwa vipi
 
Very scary to watch this.

Mi nimemaliza kuangalia Soccer Colombia VS New Zealand wanawake ambapo NZ wameshinda 1-0.
Na Pia nimeangalia gymnast ambapo kuna Huyu mfaransa ameumia vibaya Sana
rench gymnast Samir Ait Said was carried away on a stretcher after breaking his leg when landing a vault move at the Rio Olympics.

1470519039203.jpg
1470519039203.jpg
 
Back
Top Bottom