Them Arabs are stealing Our Athletes..UHURU should do something about it
Bolt anakimbia saa ngapi
Google wamenizuia kuwauliza maswali baada ya ku search "kwa nini magufuli anawachukia wapinzani wa tanzania na kuwakumbatia wapinzani wa kenya"
Hongeren kwa gold ya shingoni east africa hoyeeeeee
Asante tumepokea hizo hongera, kweli tukikosea una haki ya kutukosoa, tukiumia unatupa pole, tukifanya vyema jameni tupongeze. Asante sana jirani mwema, baadhi yenu huwa mnatia moyo sana.
Sisemi napenda pesa lakini as long as zile pesa wanalipwa wanazituma Kenya ili kusaidia jamii, kidesign kuna vile its good for business.Them Arabs are stealing Our Athletes..UHURU should do something about it
Huyo mkenya asingeenda huko Bakherain Kenya wangeshine sana aisee.Them Arabs are stealing Our Athletes..UHURU should do something about it
Wakenya, waethiopia, wameghra, Tanzania tunachakujifunza, aisee kila kitu tuko ka mkia tu. Mashindano hayo hutangaza pia nchi aisee. Hongereni Kenya, Ethiopia kwa Africa mashariki.Hongereni Majirani, mie ni Mtanzania ambaye sina chuki na Majirani zetu, lakini mkikosea nitawaambia, mkiwa na msiba wa Kitaifa nitawapa pole na mkifanya vizuri popote pale na kwenye fani yoyote ile ndani ya nchi yenu au nje ya nchi yenu nitawapongeza. Huo ndiyo ujirani mwema.
Wale Wakenya wanaokuwa raia wa nchi za Mashariki ya Kati ni kwa karatasi tu..wote waishi Kenya na mazoezi yao wayafanyia ITEN..Hata pesa zaoSisemi napenda pesa lakini as long as zile pesa wanalipwa wanazituma Kenya ili kusaidia jamii, kidesign kuna vile its good for business.
Tumeipokea Hongera hiyo ..kwa mikono na miguu....Wakenya, waethiopia, wameghra, Tanzania tunachakujifunza, aisee kila kitu tuko ka mkia tu. Mashindano hayo hutangaza pia nchi aisee. Hongereni Kenya, Ethiopia kwa Africa mashariki.
Malizia maneno jirani, (kwa sauti ya "Mujuba")Hehehe!! Jamani nimecheka sana, hivi haujui mke wa jirani ni mtamu, sasa Magufuli akikumbatia upinzani wa Kenya na kuwabana wale Tanzania ina maana kwamba.....
Malizia maneno jirani, (kwa sauti ya "Mujuba")Hehehe!! Jamani nimecheka sana, hivi haujui mke wa jirani ni mtamu, sasa Magufuli akikumbatia upinzani wa Kenya na kuwabana wale Tanzania ina maana kwamba.....
Endelea na spirit hyo hyo ya kujituma mkuu.Tumeipokea Hongera hiyo ..kwa mikono na miguu....
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.[/QUOTE
thinking like a loser! napenda unavyoandika kithungu kiovyo ovyo. rudu shuleni upate elimu ya lugha. hapa kwetu kitoto cha std 4 kitandika sahihi kukuliko. bureee kabisa!!
TanzaniaOlympic Medal Count
Population
53.5
MILLION
All-Time Medals Per Million
0.037
All-Time Medal Total
2
Mkuu hata kiswahili chako kizuri ..kweli mmetusua ..me nawakubali tupeane michongo basi achana na figisufigisu za kisister duHehehe naomba sana kwa muda nipo humu duniani nisiwahi kuwa na hizi roho zenu za chuki nyie wala albino. Yaaani mnaishi maisha magumu sana, roho nyeusi zinazoiva kwa majungu, wivu na chuki kila uchao. Hayo ni maisha ya hatari sana maana unaowaonea wivu na chuki wanazidi kutanua, wanazidi kukuacha nyuma, wanazidi kunawiri, wanazidi kubarikiwa ilhali wewe unazidi kuumia huku umekaa kitako kwa uvivu na uzembe, umebarikiwa na kila aina ya raslimali, lakini kwa jinsi ulivyo na roho nyeusi ya chuki, unaishi kuwa maskini wa kutupwa miaka yote.
Congratulation Private Sumgong Kenya airforce
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.
That mken nimetusi kina nani?sasa unavyoongea hivyo kweli si wewe ndio nyangau,si lazima utusi watu ili ueleweke kaka
That mken nimetusi kina nani?