Rio Olympics: Kenya's medal Count

Rio Olympics: Kenya's medal Count

saa kumi na dakika ishirini na tano 3000 steeplechase wanaume.
 
3 Kenyans qualify comfortably for 3000 m steeplechase finals.
 
..Tanzania na sisi tuchukue wanariadha toka -Kenya.

..wanariadha wa Tanzania ni WAZEE na wako too SLOW kuweza kushinda popote pale.

..kwa mfano, Sara Ramadhani Mtanzania aliyekimbia marathon za wanawake ni mzee kuliko wanariadha wa Kenya na Ethiopia.

..vilevile her best time ni more than 20 minutes slower compared to the best time by Kenyan and Ethiopian athletes.

..we sent our athletes to Rio while we are almost sure that they wont bring the country any medals

Cc MK254, Kafrican, BAK, bagamoyo
 
Hehehe, waltham,
Hiki kingereza kidogo chanitosha kabisa, naweza Fanya conversation na yoyote tukaelewana, unataka nijue kingi cha kazi gani?
najivunia kiswahili nakijua vizuri mno maana hii ndio lugha ninayotumia kwa zaidi ya 98% katika shughuli zangu za kila siku,

hii kingereza ilikuja na meli iliyokuja na mkoloni alipoamua kumtawala babu yangu akamwambia lugha yake ya kibantu ni mbaya hivyo ajifunze lugha nzuri (Kiingereza) ambacho wewe ndio umebaki na hangover ya ukoloni hadi Leo..
Nawapongeza wakenya kwa uthubutu, mmemshiriki michezo mingi japo medals zote zinakuja kwenye mchezo mmoja,
Riadha.. Kenyans + ethiopians + Jamaicans are good at that..(very Good) japo kwa michezo mingine bado sana.. tuendelee kujitahidi.,
ila pia nawapongeza watz, wameenda watu 7 tu lakini si haba, siku tukipeleka wengi kama Kenya tutarudi na Kikubwa zaidi.
I wonder watanzania hupewa elimu ipi shuleni.... They use alot of future tense... Siku tutajenga Reli,Siku tutajenga Bagamoyo,.... Sasa hapa nisiku mtaenda wengi.... When will you lazy guys ever start anything.
 
..Tanzania na sisi tuchukue wanariadha toka -Kenya.

..wanariadha wa Tanzania ni WAZEE na wako too SLOW kuweza kushinda popote pale.

..kwa mfano, Sara Ramadhani Mtanzania aliyekimbia marathon za wanawake ni mzee kuliko wanariadha wa Kenya na Ethiopia.

..vilevile her best time ni more than 20 minutes slower compared to the best time by Kenyan and Ethiopian athletes.

..we sent our athletes to Rio while we are almost sure that they wont bring the country any medals

Cc MK254, Kafrican, BAK, bagamoyo

Mkuu,
Naamini tuna wanariadha kibao wazuri raia na wanajeshi pia. Ila matayarisho wanafanya sehemu zisizofaa mfano Dsm, Kibaha au Pwani. Wanatakiwa kufanya mazoezi ya muda mrefu na mashindano katika altitude za juu kama kule Hanang', Mbulu, Kitulo Mbeya (Ambapo hakuna mbu wa malaria/hewa nyepesi/ oxygen nyingi) n.k maeneo yanayofanana na nyanda za juu za huko Kenya au Ethiopia.
 
Mkuu,
Naamini tuna wanariadha kibao wazuri raia na wanajeshi pia. Ila matayarisho wanafanya sehemu zisizofaa mfano Dsm, Kibaha au Pwani. Wanatakiwa kufanya mazoezi ya muda mrefu na mashindano katika altitude za juu kama kule Hanang', Mbulu, Kitulo Mbeya (Ambapo hakuna mbu wa malaria/hewa nyepesi/ oxygen nyingi) n.k maeneo yanayofanana na nyanda za juu za huko Kenya au Ethiopia.

..una mawazo mazuri tu.

..ila naamini currently hatuna talent ambayo imeshavumbuliwa na wako tayari ku compete at highest and international level.

..hebu nenda kutafute data za Fabiano Joseph ambaye tunamtegemea kwenye marathon. Mlinganishe na wapinzani wake toka Kenya na Ethiopia, nina hakika utaelewa chimbuko la malamiko yangu.

..hilo la kupiga kambi Hanang na Mbulu limeshafanyika. Tena nakumbuka waziri Membe alipeleka wanariadha wetu wakapiga kambi Ethiopia. Walipokwenda kwenye mashindano wakarudi watupu.

..tunatakiwa tutafute vipaji kwanza. Halafu tuvijenge kama hivyo ulivyopendekeza.

Cc Manyerere Jackton, Pasco
 
..Tanzania na sisi tuchukue wanariadha toka -Kenya.

..wanariadha wa Tanzania ni WAZEE na wako too SLOW kuweza kushinda popote pale.

..kwa mfano, Sara Ramadhani Mtanzania aliyekimbia marathon za wanawake ni mzee kuliko wanariadha wa Kenya na Ethiopia.

..vilevile her best time ni more than 20 minutes slower compared to the best time by Kenyan and Ethiopian athletes.

..we sent our athletes to Rio while we are almost sure that they wont bring the country any medals

Cc MK254, Kafrican, BAK, bagamoyo

Hehehe JokaKuu hao wanariadha wananunuliwa kwa hela nyingi sana, aisei sio rahisi kihivyo, kumnunua mwanariadha mwenye hadhi ya kushinda Olympic, halafu aukane hadi na uraia wake wa Kenya, kwa sasa hivi msitegemee na mkithubutu yaani itakua vurugu kwenu hadi bungeni, vikao vitafanyika bungeni na wajumbe kutafuna posho ili wajadili kwamba mlifika hapo lini.

Kwa Tanzania kuwa kama Kenya, nafikiri tatizo lipo kwenye mfumo mzima shuleni, hamuonekani kutilia maanani suala la michezo haswa ya riadha. Na pia Wabongo wengi wenyewe huwa hamna haja kabisa, mnapenda sana mambo ya soka yaani Simba/Yanga lakini riadha hamuongei kabisa. Nilkua naona Dar watu wananishangaa shangaa kila nikitoka jioni kukimbia, maana mimi kwa umbo ni bonge na mnene, sasa jamaa wanashangaa sana kuona mtu wa aina yangu anakimbia tena kwa kasi.

Hili la kushinda riadha sio vipaji tu, ila kama taifa mnafaa kuandaliwa kimawazo kuanzia mkiwa shuleni.
 
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.

Tanzania's medal count:

5-aluminium
7-copper
6-tin

Mko vizuuuri
 
MK254,

..asante kwa majibu yako.

..miaka ya 70 wanafunzi walikuwa wanacheza mpaka boxing huku Tz.

..shule ya sekondari ya serikali niliyosoma mimi nilikuta gymnastics equipment na boxing gears lakini hazitumiki.

..ni kweli kabisa michezo haitiliwi mkazo ktk shule zetu. Watanzania walioshinda medali miaka ya 80 walikuwa ni product ya mashindano ya mashule.

NB.

..hivi hamuwezi kutuazima wanariadha wenu ambao wameshindwa ku qualify for olympics?
 
I wonder watanzania hupewa elimu ipi shuleni.... They use alot of future tense... Siku tutajenga Reli,Siku tutajenga Bagamoyo,.... Sasa hapa nisiku mtaenda wengi.... When will you lazy guys ever start anything.
Hahahah Easy Bro!

Nimecheka ila mkuu
huoni hata medali
anazochukua Diamond
kila siku?;

Kwenye riadha
tupeni muda tu
Muda utazungumza
 
MK254,

..asante kwa majibu yako.

..miaka ya 70 wanafunzi walikuwa wanacheza mpaka boxing huku Tz.

..shule ya sekondari ya serikali niliyosoma mimi nilikuta gymnastics equipment na boxing gears lakini hazitumiki.

..ni kweli kabisa michezo haitiliwi mkazo ktk shule zetu. Watanzania walioshinda medali miaka ya 80 walikuwa ni product ya mashindano ya mashule.

NB.

..hivi hamuwezi kutuazima wanariadha wenu ambao wameshindwa ku qualify for olympics?

Hehehe!
Wanariadha hata tukiwaazima wanaofanya vizuri, lakini wakija huko wataishia kulemewa. Maana kama nilivyokuambia, ufaulu wao sio kwa juhudi zao tu, bali kama taifa watu wake wapo vipi katika kuwahamasisha wanariadha wake. Kwa mfano mwanariadha wa Kenya akitembea tembea mitaa ya Eldoret huku ameficha uso, atakuta watoto wanamuiga wakikimbia kimbia.
Unakuta mtoto anajiita David Rudisha huku akikimbia kimbia, au watu wanaongea ongea kumhusu, pia kwenye utani hata comedy za TV wanariadha kama David wanatajwa tajwa, hilo linawapa fahari, wanapewa nafasi ya kutangaza bidhaa
pia.
 
..una mawazo mazuri tu.

..ila naamini currently hatuna talent ambayo imeshavumbuliwa na wako tayari ku compete at highest and international level.

..hebu nenda kutafute data za Fabiano Joseph ambaye tunamtegemea kwenye marathon. Mlinganishe na wapinzani wake toka Kenya na Ethiopia, nina hakika utaelewa chimbuko la malamiko yangu.

..hilo la kupiga kambi Hanang na Mbulu limeshafanyika. Tena nakumbuka waziri Membe alipeleka wanariadha wetu wakapiga kambi Ethiopia. Walipokwenda kwenye mashindano wakarudi watupu.

..tunatakiwa tutafute vipaji kwanza. Halafu tuvijenge kama hivyo ulivyopendekeza.

Cc Manyerere Jackton, Pasco

Tanzania ni suala tu la kuwa serious, tuangalie timu yetu ya marathon ambayo itakimbia siku ya kufunga mashindano ya Olympics Rio 2016 tarehe 21 Agosti 2016.

Team Tanzania ikiongozwa na mzoefu Fabian Joseph umri miaka 31 hapa ujuzi wake kuna medali pia bila kuwasahau chipukizi wawili Alphonce Felix Simbu umri 24 na Saidi Juma Makula miaka 23 wenye uchu wa kuweka jina ktk historia. Pia tukitazama muda waliokimbia ktk mashindano mbalimbali kuna ''uwezekano wa medali'' mwaka huu.

Rio2016 Olympics qualifying time for the full marathon is 2 hours 19 minutes and 00 seconds. And they’re off… qualification for athletics events at Rio 2016 Olympic Games begins

287379.jpg
Alphonce Felix Simbu age: 24 yrs
Personal Best Time Marathon 2:09:19 Otsu 06 MAR 2016 IAAF: Alphonce Felix Simbu |
Profile 71st Lake Biwa Mainichi Marathon japan running news: Rotich Wins Wild Lake Biwa Mainichi Marathon, Kitajima Leads Four Japanese Men Sub-2:10 in Chase for Rio

1. Lucas Rotich (Kenya) - 2:09:11
2. Hisanori Kitajima (Japan/Yasukawa Denki) - 2:09:16 - PB
3. Alphonce Felix Simbu (Tanzania) - 2:09:19 - PB

305543.jpg
Saidi Juma Makula age: 23 yrs
Marathon Personal Best Time 2:12:01 Daegu 03 APR 2016 IAAF: Saidi Juma Makula | Profile, Winner MIA 2015: Paraguayos triunfan en la Media Maratón Internacional de Asunción - 2015

Fabian Joseph
Fabiano Joseph NAASI
Country: Tanzania
tan.gif

Born: 24.12.1985
1 x World Half Marathon champion
2 x World Half Marathon Championships Silver medallist
1 x Commonwealth Games Bronze medallist
1 x World Junior Championships Silver medallist
1 x Commonwealth Games finalist
1 x World Junior Championships finalist
1 x African Championships finalist
3 x National champion
1 x World Half Marathon Championships finalist
1 x World Cross Country Championships finalist

"Our technical bench has decided that our runners should be there just a few days before the race", he told The Citizen here over the weekend as the team descended into the city from their training camp in high altitude west Kilimanjaro. www.thecitizen.co.tz

Kenya’s Chanchima to battle Tanzania’s Fabiano in Nagano Marathon
April 25, 2016

Chanchima-Joseph.gif

Fabian Joseph (Blue No.9) and Jairus Chanchima in action

Chanchima has a best of 2:07:43 from the 2012 Seoul Marathon but this is the only time he has cracked 2:10:00 and his last marathon was at the 2014 Seoul Marathon where he was only 12th with 2:14:53.

The favorite’s role consequently falls to the second-fastest runner in the field, his compatriot Laban Mutai, who recorded his personal best of 2:08:01 at the 2012 Koln Marathon. He also won the 2014 Linz Marathon with 2:08:03.

His latest marathon was in Valencia last November, where he was sixth with 2:09:55, still showing consistent form under 2:10:00.

However, the most intriguing runner in the field is Joseph.

Now 30, Joseph has run five marathons in his career but his marathon best is only 2:13:24 from 2006, when he made his debut at the Amsterdam Marathon. He was only 11th at the 2014 Commonwealth Games and 42nd at the IAAF World Championships Beijing 2015 but his credentials at shorter distances are quite impressive.

Read also: Matebor looking to become the first man to defend Lodz Marathon title

He won the 2005 IAAF World Half Marathon Championships and finished second at the 2003 and 2004 editions. His half marathon best is 59:56 and he has good track times to his name, although most were set almost a decade ago.

Theoretically, Joseph should be able to run a much faster marathon. How much faster is one of the intriguing questions on Sunday.

Source: Kenya’s Chanchima to battle Tanzania’s Fabiano in Nagano Marathon
 
This is the update thread of our medal count in Rio.

Gold - 1
Silver - 3
Bronze - 0

Jemima Sumgong - Women's Marathon - Gold

Vivian Cheruyiot - Women's 10000m - Silver

Paul Tanui - Men's 10000m - Silver

Hyvin Jepkemoi - Women's Steeplechase - Silver
Hadi kunakucha kesho ,Kenya jumla ya medali 6 au 7.
 
Those marathon times are impressive, your coaches must have slept on the job not to develop a sub 2:14 marathoner
 
NAJISIKIA VIBAYA KUONA MAJIRANI WANACHUKUA MEDALI SIYE TUNARUDI WATUPU
 
NAJISIKIA VIBAYA KUONA MAJIRANI WANACHUKUA MEDALI SIYE TUNARUDI WATUPU
Umecheki ''time'' nzuri za wawakilishi wetu watatu toka Tanzania walizonazo kukubalika kushiriki marathon Rio2016 hapo juu, Olimpiki hii natumai medali Tanzania tutapata kama mdau '' Dhuks '' anavyokubali kitaalamu.
 
Back
Top Bottom