Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Binamu hawa hawajui heading za habari za udaku eeeh??Kufika tu huko ni maajabu, achilia mbali kufika marekani, kuhudhuria mkutano wa UN kama kiongozi pekee kutoka Tz sio kitu cha sport aiseeh,hata wasomi wameshindwaaa.
Labda anawakilisha mashoga wenzake sio mm kijana wa kitanzania.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyo siyo wa sport sport!Akina makonda mtamkamata na huyu au mnawaonea tu akina kaoge na james delicious?
ndo inavyokuaga siku zoteeMmh. Kumbe mtoto wa mzee SINIGA? Huyu mzee na ukorofi wake wote kumbe anamtoto shoga.
kwa picha na pozi hili...View attachment 471585
Haka kapicha kalinipa ukakasi,
kwani kuna kipimo kitakachoonyesha nimewahi kumtatua....Hivi hawa wakikamatwa na kuhojiwa wataje mabwana zao ndiyo itakuwa balaa.
Mkuu huyo ni mhindiNina mashaka na huyu mwarabu.... mbona kila mwenye skendo ya ushoga unakuta keshapiga nae picha......
Anawabamiza au ndo waarabu wa pemba wanajuana kwa vireemba.... simuelew huyu msee....
Hivi unaweza kumshika mwanaume mwenzio kiuno?? Huyu Mudi huyuu