King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kuwafunza adabu hawa ni kimyakimya sio kuwatangaza na kuendelea kuwapatia umaarufu wanaotaka....na huyu akirudi asachiwe airport lazima atarudi na stock ya kutosha ya vilainishi!Tusiruhusu Hawa Kina Rio and type zake za kina Kaoge wajiachie mitandaoni,Dr Kigwangwala ebu wafundishe adabu hawa kina type za Kina Ray wakuache na Kina james Delicios wafungwe selo kwanza kwa miezi 6 akili ziwarudi,utatatuliwaje rinda mtoto wa kiume?
teh teh teh atakuwa anawafumua rinda...Huyu jamaa ni anamakusudi sana, na picha zake nyingi anazopiga na wanaume wenzake zinakuwa zinaaacha ukakasi flani katika jamii. Yani hasipo kushika kiuno basi atakushika begani tena katika "mshiko" flani hivi husio wa kawaida.
Sema hofu na mashaka yangu huwa yanaenda moja kwa moja kwa washikwaji, lazima utawakuta na wao wapo katika hali flani ya furaha na wenye kujisikia vizuri sana jinsi wanavyoshikwa.
Siku hizi unaingia huku late sana,ni nini mbaya?teh teh teh atakuwa anawafumua rinda...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu jamaa ni anamakusudi sana, na picha zake nyingi anazopiga na wanaume wenzake zinakuwa zinaaacha ukakasi flani katika jamii. Yani hasipo kushika kiuno basi atakushika begani tena katika "mshiko" flani hivi husio wa kawaida.
Sema hofu na mashaka yangu huwa yanaenda moja kwa moja kwa washikwaji, lazima utawakuta na wao wapo katika hali flani ya furaha na wenye kujisikia vizuri sana jinsi wanavyoshikwa.
Hahahahaha umeongea kwa hasira mkuuIlo jamaa lipunga nalijua
teh teh teh teh Nifah Magu kabana mno aisee... Majukumu nayo yameongezeka kidogoSiku hizi unaingia huku late sana,ni nini mbaya?
Yani umekuwa kama kakakuona bhana?
kwa picha na pozi hili...
ni dhahili team kilainishi.....
kwa hiyo rio sio msomi?Kufika tu huko ni maajabu, achilia mbali kufika marekani, kuhudhuria mkutano wa UN kama kiongozi pekee kutoka Tz sio kitu cha sport aiseeh,hata wasomi wameshindwaaa.
Huyu jamaa mleta post mpaka dakika hii naandika haijulikani hasa jinsia yake ipi, watu wana otea tu.Ni ujinga uliopitiliza kuleta post hapa JF, inayoshabikia ushoga. Hii ni aibu
kumbe wew nawe shogahiyo international development ndio inaleta ukakasi wa kishoga na sembe!!
mbali na yote jamaa mzuriii akinipa siachiiii
makoooondaaa
Ayaaaaaaa kashikwa kiuno!!!!
I reserve my comment