Rio Paul

Rio Paul

12784108_1761860770712872_292252895_n.jpg
 
Hivi huyu Rio Paul alishatamka hadharini kabisa kuwa yeye ni gay? Au mnahisi tu kwakua ni fashion designer na pia ni nadhifu?
 
Ukiwa na rafiki gay ni watu wazuri sana, sio selfish, he will be there for you 24/7, he will share with you all his up and downs. Pia wengi wao wako delicate sana wakiumizwa. Being hurt for them is so painful.
Kwaiyo we ndio mashoga zako
 
Hivi huyu Rio Paul alishatamka hadharini kabisa kuwa yeye ni gay? Au mnahisi tu kwakua ni fashion designer na pia ni nadhifu?
kwani shoga lazima ajitangaze? halafu sheria za nchi yetu haziruhusu
 
So he is innocent unless is proved quilty.
mama sikiliza na unafaham sheria za nchi na maandiko matakatifu yamekataza huo uchafu then huyo shoga ako kuna uzi wake humu amejadiliwa sana miaka ya nyuma hebu utafute
 
Ukiwa na rafiki gay ni watu wazuri sana, sio selfish, he will be there for you 24/7, he will share with you all his up and downs. Pia wengi wao wako delicate sana wakiumizwa. Being hurt for them is so painful.
Hivi ukimsifia shoga hivi, ulishawahi kuwaza mtoto wa tumbo lako akiwa hivo utamuona mzuri hivo? Utamwagia hizo sifa?
 
Hivi ukimsifia shoga hivi, ulishawahi kuwaza mtoto wa tumbo lako akiwa hivo utamuona mzuri hivo? Utamwagia hizo sifa?
Unajua katika maisha nimekutana na mengi, nature ya kazi ninayofanya ninakutana na hawa jamaa, nimejifunza kuwaangalia kama binadamu bila kufikiria mengine. Kuna vitu vingi vimenifanya nimebadili muangalizo wa maisha. Ninajua inauma sana kama mzazi lakini kuna vitu inabidi umuombe sana Mungu yasikutokee.
 
Kuliko kuwa na mtoto wa hivi heri Mungu aninyime uzazi, miezi tisa ya shurba na siku ya fainali roho mkononi, unamlea mtoto wa kiume kwa shida afu aje kuwa mke wa watu.... Mungu niepushie inauma kama wewe ni mama huwezi kufurahia huu upumbavu labda uwe sijui mgumba
 
Unajua katika maisha nimekutana na mengi, nature ya kazi ninayofanya ninakutana na hawa jamaa, nimejifunza kuwaangalia kama binadamu bila kufikiria mengine. Kuna vitu vingi vimenifanya nimebadili muangalizo wa maisha. Ninajua inauma sana kama mzazi lakini kuna vitu inabidi umuombe sana Mungu yasikutokee.
Unaombaje Mungu isitokee wakati unaoneka unawafurahia, kuna vitu vinaumiza asee hata kama maisha yake ila ukiwaza kama mama unaumia.....
Mie nawashangaa wanawake wanaowasifia mashoga hivi ukimsifia waza huyo ni mwanao utathubutu kusema my son ni gay but ma gay are good people wako delicate HUU UZUNGU WA KUIGA HUU PTUUUUU
 
Unajua katika maisha nimekutana na mengi, nature ya kazi ninayofanya ninakutana na hawa jamaa, nimejifunza kuwaangalia kama binadamu bila kufikiria mengine. Kuna vitu vingi vimenifanya nimebadili muangalizo wa maisha. Ninajua inauma sana kama mzazi lakini kuna vitu inabidi umuombe sana Mungu yasikutokee.
Umeshawahi kukaa/kukutana na majambazi sugu au vibaka wapiga roba au wasichana wanao jiuza wakakueleza yaliyowasibu mpaka kufika huko?

Ninachomaanisha ni tusiusifie uovu wa aina yoyote ile kisa chimbuko lake ni background mbovu. UOVU NI UOVU
 
Back
Top Bottom