Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ni shabiki maarufu wa mabingwa wa historia VPL Yanga
Alifariki hivi karibuni ukweli Ali alikuwa kivutio kikubwa mechi kama ya leo....hata mfungwe tatu anahamasisha shangilien kama ameona goli la ushindi
Walewazee wenzangu wa hamsha popo pale nje mnaeleewa namaanisha nini kusema Ali mtu wa watu
Ni shabiki pekee alikuwa akienda upande wa Simba kule nje na kucheza huku wakifurahia pande zote kwa furaha kabisaaa..aliunganisha mashabiki wote kuwa kitu kimojaa
Zamani nilikuwa natukana mashabiki snikitukanwa FB
Ali alinilekeza mpira n upendo....nikaelewa
Mungu akuweke mahali pema peponi Ali
Akupunguzie adhabu ya kaburi..aangalie rehema zake na sio makosa yako
Amiiiiin Amiiiiin Amiiiiiiin
Alifariki hivi karibuni ukweli Ali alikuwa kivutio kikubwa mechi kama ya leo....hata mfungwe tatu anahamasisha shangilien kama ameona goli la ushindi
Walewazee wenzangu wa hamsha popo pale nje mnaeleewa namaanisha nini kusema Ali mtu wa watu
Ni shabiki pekee alikuwa akienda upande wa Simba kule nje na kucheza huku wakifurahia pande zote kwa furaha kabisaaa..aliunganisha mashabiki wote kuwa kitu kimojaa
Zamani nilikuwa natukana mashabiki snikitukanwa FB
Ali alinilekeza mpira n upendo....nikaelewa
Mungu akuweke mahali pema peponi Ali
Akupunguzie adhabu ya kaburi..aangalie rehema zake na sio makosa yako
Amiiiiin Amiiiiin Amiiiiiiin