PSYCHOLOGY
Senior Member
- Feb 10, 2011
- 177
- 14
Habari.
Nmesikia Mtangazaji aliekua akiripoti habari za BBC wa hapa kwetu Bongo amefariki leo asubhi.
Source: Radio Tumain, mtangazaji wakati wa kipindi cha magazeti...nae ametumiwa msg! Akaisoma on air.
Yah alikua anaumwa,alipungua sana mwili last time kumuona nilimpotea kabisa.pole kwa wanahabari kwa kuondokewa na mwenzenu mwingine baada ya da Halima jana.
Halima yupi tena?