TANZIA RIP Major General Profesa Yardon Kohi

Kuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
Ninamkumbuka kwenye mgomo wa Madaktari wa MNH mwaka 2012 ambao uliongozwa na akina Dr Ulimboka. Prof Kohi na timu yake kutoka LugaloMilitary Hospital na kambi zingine wali fit in immediately na kuhakikisha kuwa huduma hazizorti. Binafsi ndiyo nilielewa maana ya kiapo cha Wabnajeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…