Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Sirro🤣🤣Miamba inaondoka, tunabaki na akina Mambosasa
Ndio alifariki pale Lugaro , Mungu amhifadhiKuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
Aaahaaaa
Old version[emoji23]
Chuma kimelalaKuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
R.I.P...CV kali sanaKuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
RIP Prof Kohi😭😭Kuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029
Vyote vya kawaida nimeamua kutabasam tuKitu gani umekiona siyo cha kawaida mpaka ukatabasamu
Ninamkumbuka kwenye mgomo wa Madaktari wa MNH mwaka 2012 ambao uliongozwa na akina Dr Ulimboka. Prof Kohi na timu yake kutoka LugaloMilitary Hospital na kambi zingine wali fit in immediately na kuhakikisha kuwa huduma hazizorti. Binafsi ndiyo nilielewa maana ya kiapo cha WabnajeshiKuna taarifa ya kufariki kwa huyu Major General Prof Yardon Mtarima Kohi,. Wana JF wanaomjua vizuri watupe umahiri wake
View attachment 2576029