Ripoti: 50% ya Waandishi wa Habari Tanzania wameripoti kuwahi kutishiwa, kushambuliwa au kuteswa wakiwa kwenye majukumu yao

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826

Ripoti ya Utafiti wa Uzoefu na Maoni ya Waandishi wa Habari kuhusu Sekta ya Habari Tanzania imebaini masuala muhimu yafuatayo:

20% ya Waandishi wa Habari wanasema ajira yao ni ya kudumu huku 63% wanasema ni vigumu kupata maisha mazuri kupitia Uandishi wa Habari.

Waandishi wa Habari wa Kike wanadhani, mara nyingi hawatendewi Haki kulinganisha na Waandishi wa Kiume.

Kwa mujibu wa Utafiti wa Uzoefu na Maoni ya Waandishi wa Habari kuhusu Sekta ya Habari Tanzania, imebainika kuwa Nusu (50%) ya Waandishi wa Habari wanaripoti kuwahi Kutishiwa, Kuteswa, au Kushambuliwa katika kazi zao.
 
ha ha uongo mtupu
 
Mbona wenzao wkina kitenge wanapeta

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…