Wizara ya afya kupitia kitengo chake cha takwimu ya afya , Malaria na viashiria inautaja mkoa wa Dar es salaam kuwa kitovu cha Mitala kwa wastani mtu mmoja ana wapenzi tisa ikifuatiwa na lindi wanne na Dodoma watatu

Chanzo, mwananchi

My take :wale wanaotuiata wanaume wa Dar hatuko ngangari halafu wana mpenzi mmoja mmoja wajua hapa dar tunachakata haswa

USSR
View attachment 2512825
 
Inasikitisha sana!

Kama kila mtu ana michepuko tisa basi ni balaa hapo ndani.

Chain ni ndefu sana hapo ikitokea mmoja kaumia.
 
mzinifu mwanamke na mzinifu mwanume ambao wameolewa kuoa washuiwe na mashahidi 4 waadirifu kisha wachimbiwe shimo wapigeni mawe mpaka kufa haya ndio malipo yao waliyo yachuma kwa mkono yo

ambo awajaoa wala kuolewa wachapeni bakola 100

hiyo dawa ya kutokomeza ukimwi duniani na ukahaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…