DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Anauliza wengine kwenye hiyo chainInasikitisha sana!
Kama kila mtu ana michepuko tisa basi ni balaa hapo ndani.
Chain ni ndefu sana hapo ikitokea mmoja kaumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anauliza wengine kwenye hiyo chainInasikitisha sana!
Kama kila mtu ana michepuko tisa basi ni balaa hapo ndani.
Chain ni ndefu sana hapo ikitokea mmoja kaumia.
Hama fasta nenda chuga Kwa mashoga na wasagajiNimeghairi kuhamia dar 😂😂😂
Hii inachangiwa na kutorizika namkewako na tamaa na jeuri za wanawake!!!Hama fasta nenda chuga Kwa mashoga na wasagaji
Yeye ndio anazitoa ila kwasasa Yupo DSM anamalizia majanga yake. Yeye ndio anautengeneza na kuuzaHii inachangiwa na kutorizika namkewako na tamaa na jeuri za wanawake!!!
KAKA MKUU JAMAA BADO .PIA ULISEMA FEBRUARY NDO HII PIA NATAKA KUJUA YEYE JOHN NI MUUZAJI WA BIDHAA AU MTENGENEZAJI?NAMBA SIYO YAKE LABDA UTUPE NAMBA YAKE HALISI INAYO ENDANA NA USAJILI WA NIDA
SASA TUACHE MAJANGA YAKE MKUU NAKUSIKILIZA WEWE MAANA FEBRUARY HII KAKA!Yeye ndio anazitoa ila kwasasa Yupo DSM anamalizia majanga yake. Yeye ndio anautengeneza na kuuza
Mi mwnyw nmeshangaa[emoji4]Si wanasema wanaume wa dar hawana nguvu za kiume?
Inashangaza sana kila siku wanawake wanalalamika kina Baba sekunde 8 chali wiki -mwezi unakata sasa hiyo michepuko wanaipa nini[emoji23] au ndiyo AIDOLA AIDOLA?Si wanasema wanaume wa dar hawana nguvu za kiume?
Wahamie tu Dar ili papumueSasa hii ripoti inagombanisha watu walienda Dom na dar.
Inashangaza sanaKuwaridhisha wapenz Tisa tena mpenz mwenye wengine Tisa sio Kaz rahis
na mikoa hii inaongoza jamani kwa HIV Dodoma na Dar, ni kuwa makini sana kwa kweli, ukimwi upo mwingi sana haya maeneo
Mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Dodoma inaongoza kuwa na watu wenye wapenzi zaidi ya wawili.
Wastani wa kila mkazi wa Dar es Salaam ana mahusiano ya kimapenzi na watu tisa, Lindi watu nane na Dodoma watu watano.
Chanzo: Ripoti ya Afya, Malaria na Viashiria (TDHS-MIS 2022).