Ripoti iliyovunja record ya upotevu wa pesa tangu uhuru, inasubiri miezi 6 watu kaadhibiwa! Spika uko siriaz kweli?

Ripoti iliyovunja record ya upotevu wa pesa tangu uhuru, inasubiri miezi 6 watu kaadhibiwa! Spika uko siriaz kweli?

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Kwenye nchi ya watu makini, haiwezi kuruhusu kuwa na aina ya sipika kama huyu! Sipika asiye na uchungu wa mali za nchi na kodi zetu???

Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2021/2022 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analoliongoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi? Miezi sita baada ya report, ni fedheha!
Mbona tumeshuhudia mambo kadhaa Bungeni yakisimamisha vikao halali vya kibunge na kuanza kujadiliwa kama jambo la dharula?

Kwa mjibu wa mbunge mh Mpina, ni Karibu Tr 30 zilizopotea na kuibwa, tutakosaje kulifanya jambo hili kuwa la mhimu kujadiliwa kuliko hata bajeti inayojadiliwa?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote hakuna ila utayakuta Tanzania pekee
 
Haya mambo aya ngoja tukae kimya mda mwingine tuwaache wakina aksoni tulia mana haki ipo mikononi mwao
 
Fupa limeshatupwa kwa makatibu wakuu na watendaji wakuu kujibu hoja za CAG, ndo imeisha hiyo...
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2022/2023 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analolipngoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote, utayakuta Tanzania pekee
KILAZA WEWE
NARUDIA KILAZA WEWE SUKUMA GANG.
Natamani nisikueleze kwanini wewe ni kilaza ila ngoja tu nisema:
Ripti ya 2022/2023 bado haijafanyiwa kazi.Ripoti iliyopo ni 2021/2022 sjui wewe huko 2022/2023 umepata wapi.
Ila pia sina hakika na akili zako zilizokutuma nusu ya bajeti sijui unamaanisha bajeti ya mwaka ni 2 trillion au unamaanisha nini.
Pia rudi nyuma fungua website ya CAG upitie ripoti za miaka ya walau kuanzia 2015-2021 halafu uje utueleze umeelewa nini
 
Laiti tungekuwa na Bunge tungekomesha huu upuuzi. Jiwe alitukosea sana Watanzania kutujazia vilaza Bungeni,wamepigwa [emoji419] wasijadili report hiyo badala yake wanashindana misamiati ya kujadili ushoga mjadala ambao hauhitaji akili kubwa .
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2022/2023 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analolipngoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote, utayakuta Tanzania pekee

Spika ni mjinga sana.
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2022/2023 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analolipngoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote, utayakuta Tanzania pekee
Bunge la bajeti babu,waache bajeti!?
 
Kisha wamemuwekea mama mabango nchi nzima ili kumzuga. Ooh nani kama mama, ooh rais wa vijana, ametoa ruzuku..wabongo noma sana.
Wanamuimbia nyimbo za Mama anaupiga mwingi,kumbe wakimaanisha wao ndiyo wanapiga deal zote kadri wawezavyo.Afterall wanajua neno pekee watakaloambiwa ni 'stupid' ambalo haliwastui hata kidogo.
 
KILAZA WEWE
NARUDIA KILAZA WEWE SUKUMA GANG.
Natamani nisikueleze kwanini wewe ni kilaza ila ngoja tu nisema:
Ripti ya 2022/2023 bado haijafanyiwa kazi.Ripoti iliyopo ni 2021/2022 sjui wewe huko 2022/2023 umepata wapi.
Ila pia sina hakika na akili zako zilizokutuma nusu ya bajeti sijui unamaanisha bajeti ya mwaka ni 2 trillion au unamaanisha nini.
Pia rudi nyuma fungua website ya CAG upitie ripoti za miaka ya walau kuanzia 2015-2021 halafu uje utueleze umeelewa nini
Hiyo report ya 2021/2022.JPM alishafariki tayari.Hakuwepo hata kwenye upitishwaji wa Budget yenyewe.Huu ufisadi wa kutisha umetokea chini ya Serikali ya sasa iliyopo madarakani.Mjibu mtoa mada kwa hoja na usikimbilie kuandika maneno ya kejeli kwa herufi kubwa ambayo ni dalili ya kupiga makelele.
 
Ukisikia mtu haipendi nchi na watu wake na hafai kuaminiwa tena na wananchi na hata serikali ya watu wanaojitambua, ni sipika wa bunge hili

Ubadhirifu wa fedha kwa mwaka huu 2022/2023 inakadiriwa kuwa ni nusu ya bajeti nzima ya serikali,

Badala ya mambo yote kusimama bungeni ili kujadiliwa kwa jambo hili zito na la aibu kwa chama Chake mwenyewe na hata bunge analolipngoza, anapendekeza hadi mwezi wa kumi?

Inamaana wezi tunataka kuwapa nafasi hiyo kwa manufaa ya nani?

Bunge lipo kwenye bunge la bajeti, bajeti ambayo itaingia kwenye domo la mafisadi?

Haya mambo huwenda duniani kote, utayakuta Tanzania pekee
TA- Tulia Ackson! Mlinzi wa mafisadi! TUmsaidie Sugu kuondoa hii takataka!
 
Back
Top Bottom