Ripoti Mpya Yaonyesha Idadi Kubwa ya Vifo Katika Mgogoro wa Sudan

Ripoti Mpya Yaonyesha Idadi Kubwa ya Vifo Katika Mgogoro wa Sudan

Zile kelele za Ukraine na Mashariki ya kati tungezihamishia huku ingepoa sana. Au hawa sio ndugu zetu katika imani?

Nadhani media hazijaipa nafasi vita vya Sudan. Imezidiwa ukubwa na vita vya Gaza na Lebanon na kule Ukraine. Lakini ni muda AU ikaingia kusaidia kuleta suluhi huko.
 
Wanatumika na superpower kwa kuua watu wao wenyewe, siraha zinatoka UAE na Egypt kuingia Sudan kwa niamba ya US, zingine kutoka Syria Iran kwaniaba ya Russia, proxy war ya nini wakati mnapoteza watu shit.
Sudan walianza kupigana wenyewe. Kabla ya kupigana alipokuwepo al Bashir alitengeneza jeshi la pili la RSF kudhibiti jeshi la nchi lisije kumpindua. RSF imekusanya wahuni wa Darfur na warlords wao ni makatiri watupu. Sudan ni nchi ya kubaguana kuanzia rangi (mwenye kaweupe kidogo kuelekea Uarabu anaamini ni bora, kadri ya Msudani anavyokuwa mweusi ndio anashushwa thamani). Wanabaguana pia kwa makabila na geographical location.

Baada ya mapinduzi ya al Bashir, jeshi na RSF hawakwendana kila mmoja kambale wakapigana. Ndio hapo kila upande ukatafuta washirika nje na uko kila upande unataja ofa yake. Sudan kuna dhahabu na mafuta na UAE kwa kawaida hawakai mbali na nchi ya Afrika yenye dhahabu alafu ina vita. Kwahiyi UAE lazima tu iisaidie RSF kama ilivyokuwa tangu enzi za Darfur, then serikali ina supporters wengine.
 
Utafiti mpya umebaini kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan ni kubwa zaidi kuliko ilivyoripotiwa awali. Kulingana na ripoti ya Sudan Research Group ya London School of Hygiene and Tropical Medicine, zaidi ya watu 61,000 wamefariki katika jimbo la Khartoum, ambako mapigano yalianza mwaka jana.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa kati ya vifo hivyo, watu 26,000 waliuawa moja kwa moja kutokana na ghasia. Hata hivyo, sababu kuu ya vifo nchini Sudan ni magonjwa yanayoweza kuzuilika na njaa.

Aidha, maeneo mengine ya nchi, hasa katika mkoa wa Darfur Magharibi, yamekumbwa na vifo vingi zaidi kutokana na ripoti za ukatili na mauaji ya kikabila.

Inaonekana jumuiya ya kimataifa haijaipa nafasi kubwa vita hivi na ni kama Sudan imeachwa ipambane yenyewe mpaka mwisho. Macho yapo Lebanon na Gaza na Kwa mbali Ukraine.

Ni muda sasa umoja wa Africa AU iingilie kati mgogoro wa Sudan ili ifikie mwisho watu wasiendeleee kuuawa bila sababu za msingi.

====

BBC

The number of people dying because of the civil war in Sudan is significantly higher than previously reported, according to a new study.

More than 61,000 people have died in Khartoum state, where the fighting began last year, according to a report by the London School of Hygiene and Tropical Medicine's Sudan Research Group.

Of these, 26,000 people were killed as a direct result of the violence, it said, noting that the leading cause of death across the Sudan was preventable disease and starvation.

Many more people have died elsewhere in the country, especially in the western region of Darfur, where there have been numerous reports of atrocities and ethnic cleansing.
Advertisement

Aid workers say the 19-month conflict in Sudan has created the world's worst humanitarian crisis, with many thousands at risk of famine.

Until now, the UN and other aid agencies have been using the figure of 20,000 confirmed deaths.
Because of the fighting and chaos in the country, there has been no systematic recording of the number of people killed.

In May, US special envoy for Sudan Tom Perriello said that some estimates suggested up to 150,000 people had been killed.

The Sudan Research Group study comes as Amnesty International said French military technology was being used in the conflict, in violation of a UN arms embargo.

On Thursday, the rights group said the Rapid Support Forces (RSF) militia, which is battling the army, was using vehicles in Darfur supplied by the United Arab Emirates (UAE) that are fitted with French hardware.
"Our research shows that weaponry designed and manufactured in France is in active use on the battlefield in Sudan," said Amnesty’s Secretary General Agnès Callamard.

The BBC has asked for comment from France and the UAE, which has previously denied arming the RSF.
Mgogoro uliosahaulika...
 
Utumwa wa kifikra na kiimani ni mbaya sana,imefika mahala waafrica Wana walili waarabu na kuwaonea huruma na kuwaona wa maana kuliko hata waafrica wenzao wanaoteseka kwenye bara lao. 😭😭
 
Utafiti mpya umebaini kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan ni kubwa zaidi kuliko ilivyoripotiwa awali. Kulingana na ripoti ya Sudan Research Group ya London School of Hygiene and Tropical Medicine, zaidi ya watu 61,000 wamefariki katika jimbo la Khartoum, ambako mapigano yalianza mwaka jana.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa kati ya vifo hivyo, watu 26,000 waliuawa moja kwa moja kutokana na ghasia. Hata hivyo, sababu kuu ya vifo nchini Sudan ni magonjwa yanayoweza kuzuilika na njaa.

Aidha, maeneo mengine ya nchi, hasa katika mkoa wa Darfur Magharibi, yamekumbwa na vifo vingi zaidi kutokana na ripoti za ukatili na mauaji ya kikabila.

Inaonekana jumuiya ya kimataifa haijaipa nafasi kubwa vita hivi na ni kama Sudan imeachwa ipambane yenyewe mpaka mwisho. Macho yapo Lebanon na Gaza na Kwa mbali Ukraine.

Ni muda sasa umoja wa Africa AU iingilie kati mgogoro wa Sudan ili ifikie mwisho watu wasiendeleee kuuawa bila sababu za msingi.

====

BBC

The number of people dying because of the civil war in Sudan is significantly higher than previously reported, according to a new study.

More than 61,000 people have died in Khartoum state, where the fighting began last year, according to a report by the London School of Hygiene and Tropical Medicine's Sudan Research Group.

Of these, 26,000 people were killed as a direct result of the violence, it said, noting that the leading cause of death across the Sudan was preventable disease and starvation.

Many more people have died elsewhere in the country, especially in the western region of Darfur, where there have been numerous reports of atrocities and ethnic cleansing.
Advertisement

Aid workers say the 19-month conflict in Sudan has created the world's worst humanitarian crisis, with many thousands at risk of famine.

Until now, the UN and other aid agencies have been using the figure of 20,000 confirmed deaths.
Because of the fighting and chaos in the country, there has been no systematic recording of the number of people killed.

In May, US special envoy for Sudan Tom Perriello said that some estimates suggested up to 150,000 people had been killed.

The Sudan Research Group study comes as Amnesty International said French military technology was being used in the conflict, in violation of a UN arms embargo.

On Thursday, the rights group said the Rapid Support Forces (RSF) militia, which is battling the army, was using vehicles in Darfur supplied by the United Arab Emirates (UAE) that are fitted with French hardware.
"Our research shows that weaponry designed and manufactured in France is in active use on the battlefield in Sudan," said Amnesty’s Secretary General Agnès Callamard.

The BBC has asked for comment from France and the UAE, which has previously denied arming the RSF.
Waarabu weusi hao
 
Utafiti mpya umebaini kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan ni kubwa zaidi kuliko ilivyoripotiwa awali. Kulingana na ripoti ya Sudan Research Group ya London School of Hygiene and Tropical Medicine, zaidi ya watu 61,000 wamefariki katika jimbo la Khartoum, ambako mapigano yalianza mwaka jana.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa kati ya vifo hivyo, watu 26,000 waliuawa moja kwa moja kutokana na ghasia. Hata hivyo, sababu kuu ya vifo nchini Sudan ni magonjwa yanayoweza kuzuilika na njaa.

Aidha, maeneo mengine ya nchi, hasa katika mkoa wa Darfur Magharibi, yamekumbwa na vifo vingi zaidi kutokana na ripoti za ukatili na mauaji ya kikabila.

Inaonekana jumuiya ya kimataifa haijaipa nafasi kubwa vita hivi na ni kama Sudan imeachwa ipambane yenyewe mpaka mwisho. Macho yapo Lebanon na Gaza na Kwa mbali Ukraine.

Ni muda sasa umoja wa Africa AU iingilie kati mgogoro wa Sudan ili ifikie mwisho watu wasiendeleee kuuawa bila sababu za msingi.

====

BBC

The number of people dying because of the civil war in Sudan is significantly higher than previously reported, according to a new study.

More than 61,000 people have died in Khartoum state, where the fighting began last year, according to a report by the London School of Hygiene and Tropical Medicine's Sudan Research Group.

Of these, 26,000 people were killed as a direct result of the violence, it said, noting that the leading cause of death across the Sudan was preventable disease and starvation.

Many more people have died elsewhere in the country, especially in the western region of Darfur, where there have been numerous reports of atrocities and ethnic cleansing.
Advertisement

Aid workers say the 19-month conflict in Sudan has created the world's worst humanitarian crisis, with many thousands at risk of famine.

Until now, the UN and other aid agencies have been using the figure of 20,000 confirmed deaths.
Because of the fighting and chaos in the country, there has been no systematic recording of the number of people killed.

In May, US special envoy for Sudan Tom Perriello said that some estimates suggested up to 150,000 people had been killed.

The Sudan Research Group study comes as Amnesty International said French military technology was being used in the conflict, in violation of a UN arms embargo.

On Thursday, the rights group said the Rapid Support Forces (RSF) militia, which is battling the army, was using vehicles in Darfur supplied by the United Arab Emirates (UAE) that are fitted with French hardware.
"Our research shows that weaponry designed and manufactured in France is in active use on the battlefield in Sudan," said Amnesty’s Secretary General Agnès Callamard.

The BBC has asked for comment from France and the UAE, which has previously denied arming the RSF.
Wale nyumbu wako Gaza tu utafikiri wanaokufa hapo sudan ni sisimizi
 
Sudan walianza kupigana wenyewe. Kabla ya kupigana alipokuwepo al Bashir alitengeneza jeshi la pili la RSF kudhibiti jeshi la nchi lisije kumpindua. RSF imekusanya wahuni wa Darfur na warlords wao ni makatiri watupu. Sudan ni nchi ya kubaguana kuanzia rangi (mwenye kaweupe kidogo kuelekea Uarabu anaamini ni bora, kadri ya Msudani anavyokuwa mweusi ndio anashushwa thamani). Wanabaguana pia kwa makabila na geographical location.

Baada ya mapinduzi ya al Bashir, jeshi na RSF hawakwendana kila mmoja kambale wakapigana. Ndio hapo kila upande ukatafuta washirika nje na uko kila upande unataja ofa yake. Sudan kuna dhahabu na mafuta na UAE kwa kawaida hawakai mbali na nchi ya Afrika yenye dhahabu alafu ina vita. Kwahiyi UAE lazima tu iisaidie RSF kama ilivyokuwa tangu enzi za Darfur, then serikali ina supporters wengine.
Bora tu Sudan kusin walijitenga na hawa waislam
 
Sudan ndiyo iliyokuwa THE KINGDOM OF KUSH kabla ya kuvamiwa na Waarabu.
 
Hii vita mpk inaisha, nchi haifai kbs. Waafrica tunatumika sana na mabeberu...tunajiishia
 
Wanatumika na superpower kwa kuua watu wao wenyewe, siraha zinatoka UAE na Egypt kuingia Sudan kwa niamba ya US, zingine kutoka Syria Iran kwaniaba ya Russia, proxy war ya nini wakati mnapoteza watu shit.
....Juzi Russia kaitumia veto yake dhidi ya magharibi. Ni pale Un ilipotaka kuwashurutisha wa Sudan kisitisha vita, Russia alipinga.
 
Wanatumika na superpower kwa kuua watu wao wenyewe, siraha zinatoka UAE na Egypt kuingia Sudan kwa niamba ya US, zingine kutoka Syria Iran kwaniaba ya Russia, proxy war ya nini wakati mnapoteza watu shit.
Hakuna kujificha kwenye kichaka cha superpowers. Ni ujinga tu wa Waafrika wenyewe. Tusisingizie nchi kubwa, kwani hata kama ni kweli hatuna akili za kuzikatalia?
 
Mnachonganishwa (unavyoamini) then mnauwana huku mchonganishi yuko mbali. Hapo nani mjinga?
1000016205.jpg
 
Back
Top Bottom