Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ripoti ya Wataalamu wa Haki za Binadamu kutoka Umoja wa Mataifa (UN) imebaini baadhi ya Maafisa wa Serikali ya Sudan Kusini wamekuwa wakifanya Unyanyasaji Mkubwa dhidi ya Raia ikiwemo Kushambulia, Kujeruhi, Kuua na Ubakaji.
Pia, Ripoti imesema Serikali haijaonesha kuweka uzito katika kudhibiti ukatili huo na hivyo kuthibitisha kushindwa katika jukumu lake la kulinda raia na kuhakikisha uwajibikaji juu ya Vitendo vya Ukatili dhidi ya Binadamu.
Aidha, UN imependekeza kufunguliwa mashtaka dhdi ya Gavana wa Jimbo la Unity, Joseph Monytuil, na Luteni Jenerali Thoi Chany Reat kutoka Jeshi la Sudan Kusini ambao wanadaiwa kufanya mauaji yaliyoidhinishwa na Serikali Agosti 2022.
Umoja wa Mataifa unasema unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanawake na wasichana bado unaendelea nchini Sudan Kusini. (Inasema kutokujali kwa uhalifu mkubwa ni kichocheo kikuu cha ghasia na masaibu ambayo raia wanakabiliana nayo.)
============
UN human rights experts have accused senior government officials and military officers in South Sudan of committing serious abuses, including widespread attacks against civilians, killings and rape.
A new report says the state continues to fail in its duty to protect civilians and to ensure accountability for violations.
Amongst those recommended for prosecution are the governor of Unity State, Joseph Monytuil, and Lieutenant General Thoi Chany Reat of the South Sudanese military.
They are accused of state sanctioned extrajudicial killings carried out last August. They deny the allegations.
The UN report says sexual violence against women and girls remains systematic in South Sudan. (It says impunity for serious crimes is a central driver of the violence and misery that civilians face.)
UNITED NATIONS