Ripoti ya BoT kaa la Moto. Je, Rais Samia atamng'ata jongoo kwa meno?

Tunacho furahia kutoka kwa mama ni kutofuata nyayo za jiwe basi.
Acheni majungu..jengeni umoja wa kitaifa..Msimpake matope mpango..sasa ivi tupo tunajenga nchi atutaki majungu
 
Mpango siyo kizingiti,
Yeye ndiye alikuwa analazimishwa na mwendazake kupika takwimu za uongo kutangaza makusanyo ya Kodi.
Uchumi wa kati alipika nani takwimu ?,miradi ya kimkakati fedha alitoa mama yako?
 
Acheni majungu..jengeni umoja wa kitaifa..Msimpake matope mpango..sasa ivi tupo tunajenga nchi atutaki majungu
Hakuna cha majungu hapo mama kukataa kufuata nyayo za jiwe huo ni ushindi kwa watanzania wapenda amani na mshikamano.
 
Wewe ,Wewe , Wewe- usitowe siri ya taifa. Nchi inaweza Kusambaratika mara moja.

Mwacheni Mama SASHA ,Amtie mkononi Mpango huku akijuwa wazi yeye ni Tatizo. Ukilala na Nyoka ndani, unajifunza kufumba Jicho mmoja .Mpe Mchawi akulelee mwanao atakuwa salama.

Huu ni wakati muwafaka kwa Mama Ku m Black mile Makamo wake na kumdhibiti.

Si mnajua! ukikamatwa ugoni unavyokuwa Mpole!
 
Hilo la Kikwete kumtaka Membe ni stori tu za mjini.

Ukweli ni kwamba Lowassa hakutakiwa ndani ya CCM hasa na Mkapa.

Na chaguo halisi la Mkapa lilikuwa ni Magufuli.

Jamanieee, Magufuli hakuokota dodo wala kuwa rais kwa bahati mbaya.

Genge ka Mkapa lilifanya vikao vingi tu vya kumweka Magu madarakani.

Suala la 5 bora zilikuwa ni mbwembwe tu za kuchukua majina 5 kutoka kijana mmoja, wanawake plus Membe na mhusika Magu.

Yale majina hayakutokana na kura.

Ushahidi uko humu tena wa wazi kabisa
 
Bila hata ushahidi tutaaminije sasa?
 
CCM na ufisadi ni mapacha wafananao
 
Mh.Rais Samia Tunaomba Ripoti ya BOT usijali Waliohusika
 
Taarifa zisizokua na uhakika ni ngumu kupima uzito wake.
Hiyo ndiyo fasheni ya awamu hii kama bado haujaisoma. Wakitaka kumng'oa anayewakwamisha wanatuma kwanza wanaharakati mitandaoni wamrushie tope kisha huyo bi mdashi anafuata na panga lake. I hope viongozi wa ukweli wapitishiwe panga mapema kabla hawajawaKolimba au kuwaMangula. Bora wakae kando ile wawe salama. Wakati utakapofika ndipo kazi itaendelea pale alipoishia Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu atakuwa anabwabwaja tu na story za vijiwe vya kahawa, wakati iko wazi kabisa kulikuwa na nguvu kubwa ya BM kwenye kumpitisha meko...
 
Watu wengi wasioelewa Siasa za Tanzania wanaamini kuwa Magu aliokota Dodo, No Kama ulivyosema hakuokota dodo, Ilishaamuliwa na ikakubalika, Kilichobaki ni Mpango mkakati wa Kumuingiza Magu ndio kama ulivyokuwa.
Kuna Wakati kura zinakuwa mbwembwe tu matokeo yanakuwa tayari yapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…