Ripoti ya CAG 2021-2022; Waziri Mkuu hana msaada kwa Rais, Baraza livunjwe

Ripoti ya CAG 2021-2022; Waziri Mkuu hana msaada kwa Rais, Baraza livunjwe

Tryagain

Member
Joined
Nov 23, 2021
Posts
73
Reaction score
458
Kama kuna siku Mheshimiwa Rais ameongea kwa uchungu sana ni leo. Ni wazi kuwa Waziri Mkuu na wizara hazimsaidii kabisa wako busy tu kupiga hela kwenye miradi mikubwa makubwa haya Kodi ya zuio ilipwe hata hawa JKT walipe

Mashirika yote yalipe hila exception Deni la serikali - tunakopa kwa uangalifu sana na tunahitaji kukopa ili kufanya maendeleo.

Wizara zinachelewesha malipo ya contractors- wanafanya makusudi ili kupata cha juu kwenye riba. 418bn TZS riba kwa wakandarasi ni wazi kuna rushwa sana kwenye mawizara huko (mijitu ipoo tu hapa mama ulikereka sana hapa)

mijitu ipo na mavitambi na kupaka piko Cargo plane - over invoicing ni michongo ya wizara ya ujenzi hiyo na ndiyo mambo walikuwa wanafanya akina Chamurilo naona kuna elements bado zipo!

Hawa ni kufyekelea mbali haraka sana Maahirika ya umma- mwngi hayana tija na kwa hili ni kweli NDC sijui hata wana kazi gani yaani. Yafutwe haya mashirika

TTCL ni kisanga kingine lakini sasa tukisema mama wanatuma TCRA watudukue na kutukamata tunaogopa wababe sana hawa! Ila kiukweli hakuna kitu mule ni basi tu
 
Mwacheni unataka afukuzwe

USSR
 
Kwanini waziri mkuu na sio mawaziri wa wizara husika
 
PM sio wa kulaumiwa, mawaziri wachapakazi walitolewa na nafasi zao wakateuliwa 'team mtandao', mnataka Majaliwa afanye nini? Awafukuze?
Ni kweli ...Hayo ndio matokeo ya timu mtandao...watu wanajipigia tu...Sasa Mkuu wao atafanyaje, wakati anajua kabisa walioteuliwa ni watoto wa "Makada wa CCM - untouchable". Hata JPM alivyowatoa - haikuwa kazi ndogo (Mifano michache tu ..Marope.....Mwape...)
 
Ati kaongea kwa uchungu!

Hakuna uchungu wowote ni sanaa mtupu.

Anajua pesa za plea bargaining zilikofichwa lakini hakuna kinachoendelea.
 
Ni kweli ...Hayo ndio matokeo ya timu mtandao...watu wanajipigia tu...Sasa Mkuu wao atafanyaje, wakati anajua kabisa walioteuliwa ni watoto wa "Makada wa CCM - untouchable". Hata JPM alivyowatoa - haikuwa kazi ndogo (Mifano michache tu ..Marope.....Mwape...)
Ni kweli, wakati JPM anajaribu kuvunja mtandao wao ilikuwa vita kwelikweli. Na mbaya zaidi wapo kwenye siasa na biashara kubwakubwa.
 
Katerefoni hastahili lawama kabisa kwanza kazi anayo ifanya ni kubwa kuliko mnavyo fikiria

Katerephon ndio jicho la nchi kwa sasa hata maendeleo tunayo yaona kwakiwango kikubwa kunamkono wake
 
Back
Top Bottom