Ripoti ya CAG 2021-2022; Waziri Mkuu hana msaada kwa Rais, Baraza livunjwe

Ripoti ya CAG 2021-2022; Waziri Mkuu hana msaada kwa Rais, Baraza livunjwe

Hebu kwanza, kabla ya kumlaumu PM, kwani yule aliyetoa kauli kila mmoja wao ale kwa urefu wa kamba zao ni nani?

Naona mmeanza tena kuhangaika na Majaliwa, wakati wa juu yake mwenye maamuzi yote yupo, anatazama tu hayo madudu, na hakuna chochote cha maana anachofanya.

Bora mkiri kwanza yule wa juu ni dhaifu, hakuna anachojua, aondoke pale ndipo lawama ziende kwa watendaji wake, lakini sio kulaumu watendaji wakati bosi wao yupo tu "anaongea kwa uchungu"

Mtambue tu hili taifa haliongozwi kwa hisia, lina sheria na taratibu zake, hivyo kama mwenye mamlaka anashindwa kuyatumia mamlaka yake kuwajibisha walio chini yake, watendaji wake wasisumbuliwe.
 
Hawezi kuachwa,kama hakuhusika lakini ameshindwa kuzuia au kukemea basi hatufai piga chini
Mara ngapi anakemea na anasema anaiachia mamlaka ya uteuzi na bado anapotezewa.?

Si mama enu alisema anataka nidhamu ya moyoni.? Sasa anapiga kelele za nini? Usanii tu. Unawapa nyani shamba la mahindi kisha unatuambia mahindi yanaibiwa sana.
 
Ni kweli ...Hayo ndio matokeo ya timu mtandao...watu wanajipigia tu...Sasa Mkuu wao atafanyaje, wakati anajua kabisa walioteuliwa ni watoto wa "Makada wa CCM - untouchable". Hata JPM alivyowatoa - haikuwa kazi ndogo (Mifano michache tu ..Marope.....Mwape...)
Tulisha muambia mama kama handoi sukuma gang wote watamuangusha naona sasa kagundua
 
Ati kaongea kwa uchungu!

Hakuna uchungu wowote ni sanaa mtupu.

Anajua pesa za plea bargaining zilikofichwa lakini hakuna kinachoendelea.
Wànasafishwa wote sukuma gang
 
Kama kuna siku Mheshimiwa Rais ameongea kwa uchungu sana ni leo. Ni wazi kuwa Waziri Mkuu na wizara hazimsaidii kabisa wako busy tu kupiga hela kwenye miradi mikubwa makubwa haya Kodi ya zuio ilipwe hata hawa JKT walipe
Mashirika yote yalipe hila exception Deni la serikali - tunakopa kwa uangalifu sana na tunahitaji kukopa ili kufanya maendeleo.

Wizara zinachelewesha malipo ya contractors- wanafanya makusudi ili kupata cha juu kwenye riba. 418bn TZS riba kwa wakandarasi ni wazi kuna rushwa sana kwenye mawizara huko (mijitu ipoo tu hapa mama ulikereka sana hapa)

mijitu ipo na mavitambi na kupaka piko Cargo plane - over invoicing ni michongo ya wizara ya ujenzi hiyo na ndiyo mambo walikuwa wanafanya akina Chamurilo naona kuna elements bado zipo! Hawa ni kufyekelea mbali haraka sana Maahirika ya umma- mwngi hayana tija na kwa hili ni kweli NDC sijui hata wana kazi gani yaani. Yafutwe haya mashirika
TTCL ni kisanga kingine lakini sasa tukisema mama wanatuma TCRA watudukue na kutukamata tunaogopa wababe sana hawa! Ila kiukweli hakuna kitu mule ni basi tu
Bi TOZO ndiyo tatizo. Anakumbatia wapigaji
 
Kama kuna siku Mheshimiwa Rais ameongea kwa uchungu sana ni leo. Ni wazi kuwa Waziri Mkuu na wizara hazimsaidii kabisa wako busy tu kupiga hela kwenye miradi mikubwa makubwa haya Kodi ya zuio ilipwe hata hawa JKT walipe
Mashirika yote yalipe hila exception Deni la serikali - tunakopa kwa uangalifu sana na tunahitaji kukopa ili kufanya maendeleo.

Wizara zinachelewesha malipo ya contractors- wanafanya makusudi ili kupata cha juu kwenye riba. 418bn TZS riba kwa wakandarasi ni wazi kuna rushwa sana kwenye mawizara huko (mijitu ipoo tu hapa mama ulikereka sana hapa)

mijitu ipo na mavitambi na kupaka piko Cargo plane - over invoicing ni michongo ya wizara ya ujenzi hiyo na ndiyo mambo walikuwa wanafanya akina Chamurilo naona kuna elements bado zipo! Hawa ni kufyekelea mbali haraka sana Maahirika ya umma- mwngi hayana tija na kwa hili ni kweli NDC sijui hata wana kazi gani yaani. Yafutwe haya mashirika
TTCL ni kisanga kingine lakini sasa tukisema mama wanatuma TCRA watudukue na kutukamata tunaogopa wababe sana hawa! Ila kiukweli hakuna kitu mule ni basi tu
Kikwete pekee ndiyo alijitahidi kuwawajibisha Hawa maofisa kipindi kile bungee Lina meno
 
Mara ngapi anakemea na anasema anaiachia mamlaka ya uteuzi na bado anapotezewa.?

Si mama enu alisema anataka nidhamu ya moyoni.? Sasa anapiga kelele za nini? Usanii tu. Unawapa nyani shamba la mahindi kisha unatuambia mahindi yanaibiwa sana.
Sukuma Gang mna solidarity ya kitoto sana. Huyu lazima abetuliwe
 
mawaziri wanamuangusha sana majaliwa
Kwa mujibu wa katiba Waziri Mkuu kama ilivyo baraza la mawaziri jukumu lao ni kumshauri aliyewateua. mamlaka ya nidhamu ya mawaziri ni aliyewateua na kuwaapisha. period.
 
Back
Top Bottom