Piga chini wote wenye vielements vya sukuma gangHawezi kuachwa,kama hakuhusika lakini ameshindwa kuzuia au kukemea basi hatufai piga chini
Mara ngapi anakemea na anasema anaiachia mamlaka ya uteuzi na bado anapotezewa.?Hawezi kuachwa,kama hakuhusika lakini ameshindwa kuzuia au kukemea basi hatufai piga chini
Tulisha muambia mama kama handoi sukuma gang wote watamuangusha naona sasa kagunduaNi kweli ...Hayo ndio matokeo ya timu mtandao...watu wanajipigia tu...Sasa Mkuu wao atafanyaje, wakati anajua kabisa walioteuliwa ni watoto wa "Makada wa CCM - untouchable". Hata JPM alivyowatoa - haikuwa kazi ndogo (Mifano michache tu ..Marope.....Mwape...)
Inajenga nyumba, inapangisha inapata faidaKwa mfano TBA Ina maslahi Gani kwa TAIFA??
Wànasafishwa wote sukuma gangAti kaongea kwa uchungu!
Hakuna uchungu wowote ni sanaa mtupu.
Anajua pesa za plea bargaining zilikofichwa lakini hakuna kinachoendelea.
Bi TOZO ndiyo tatizo. Anakumbatia wapigajiKama kuna siku Mheshimiwa Rais ameongea kwa uchungu sana ni leo. Ni wazi kuwa Waziri Mkuu na wizara hazimsaidii kabisa wako busy tu kupiga hela kwenye miradi mikubwa makubwa haya Kodi ya zuio ilipwe hata hawa JKT walipe
Mashirika yote yalipe hila exception Deni la serikali - tunakopa kwa uangalifu sana na tunahitaji kukopa ili kufanya maendeleo.
Wizara zinachelewesha malipo ya contractors- wanafanya makusudi ili kupata cha juu kwenye riba. 418bn TZS riba kwa wakandarasi ni wazi kuna rushwa sana kwenye mawizara huko (mijitu ipoo tu hapa mama ulikereka sana hapa)
mijitu ipo na mavitambi na kupaka piko Cargo plane - over invoicing ni michongo ya wizara ya ujenzi hiyo na ndiyo mambo walikuwa wanafanya akina Chamurilo naona kuna elements bado zipo! Hawa ni kufyekelea mbali haraka sana Maahirika ya umma- mwngi hayana tija na kwa hili ni kweli NDC sijui hata wana kazi gani yaani. Yafutwe haya mashirika
TTCL ni kisanga kingine lakini sasa tukisema mama wanatuma TCRA watudukue na kutukamata tunaogopa wababe sana hawa! Ila kiukweli hakuna kitu mule ni basi tu
Kikwete pekee ndiyo alijitahidi kuwawajibisha Hawa maofisa kipindi kile bungee Lina menoKama kuna siku Mheshimiwa Rais ameongea kwa uchungu sana ni leo. Ni wazi kuwa Waziri Mkuu na wizara hazimsaidii kabisa wako busy tu kupiga hela kwenye miradi mikubwa makubwa haya Kodi ya zuio ilipwe hata hawa JKT walipe
Mashirika yote yalipe hila exception Deni la serikali - tunakopa kwa uangalifu sana na tunahitaji kukopa ili kufanya maendeleo.
Wizara zinachelewesha malipo ya contractors- wanafanya makusudi ili kupata cha juu kwenye riba. 418bn TZS riba kwa wakandarasi ni wazi kuna rushwa sana kwenye mawizara huko (mijitu ipoo tu hapa mama ulikereka sana hapa)
mijitu ipo na mavitambi na kupaka piko Cargo plane - over invoicing ni michongo ya wizara ya ujenzi hiyo na ndiyo mambo walikuwa wanafanya akina Chamurilo naona kuna elements bado zipo! Hawa ni kufyekelea mbali haraka sana Maahirika ya umma- mwngi hayana tija na kwa hili ni kweli NDC sijui hata wana kazi gani yaani. Yafutwe haya mashirika
TTCL ni kisanga kingine lakini sasa tukisema mama wanatuma TCRA watudukue na kutukamata tunaogopa wababe sana hawa! Ila kiukweli hakuna kitu mule ni basi tu
Hizo chuki zako hazitakufikisha popote kwa huo umri wako ni bora utulie ulee wajukuu.Piga chini wote wenye vielements vya sukuma gang
Sukuma Gang mna solidarity ya kitoto sana. Huyu lazima abetuliweMara ngapi anakemea na anasema anaiachia mamlaka ya uteuzi na bado anapotezewa.?
Si mama enu alisema anataka nidhamu ya moyoni.? Sasa anapiga kelele za nini? Usanii tu. Unawapa nyani shamba la mahindi kisha unatuambia mahindi yanaibiwa sana.
Wakiondolewa ndio utapata nafuu ya maisha?Wànasafishwa wote sukuma gang
Yaan acha tyuuh.January anautaka uwaziri mkuu,kabla ya 2025.
Duuuh poleee yake maskinii, ooohhhpppsssNa anatolewa muda wowote kuanzia sasa
Kwa mujibu wa katiba Waziri Mkuu kama ilivyo baraza la mawaziri jukumu lao ni kumshauri aliyewateua. mamlaka ya nidhamu ya mawaziri ni aliyewateua na kuwaapisha. period.mawaziri wanamuangusha sana majaliwa
Empire building, unamtaja mmoja na huo ni mkakati wa kimedali unakwama wapi VictoireJanuary anautaka uwaziri mkuu,kabla ya 2025.
My wife mbona hawa sukuma gang wanakutesa sana?Tulisha muambia mama kama handoi sukuma gang wote watamuangusha naona sasa kagundua
Huyu waziri mkuu anatafutiwa njia ya kutolewa.
sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Incompetent Prime minister amezidiwa uwezo mara alfu moja na Sumaye.Huyo siku zake mbona tayari zimeisha ?kashfa za korosho zinamsubiri