Ripoti ya CAG imezimwa kama gazeti la udaku. This is Tanzania Bana, unaiba Leo unaambiwa subiri tutakujadili kikao kijacho cha Bunge

Ripoti ya CAG imezimwa kama gazeti la udaku. This is Tanzania Bana, unaiba Leo unaambiwa subiri tutakujadili kikao kijacho cha Bunge

Ni kweli sema tatizo huku tuna ushabiki wa kisiasa. Unakumbuka issue ya Makinikia lawama zikawa kwa Lissu mara msaliti mara anatumika yaani kesi nzima ya Trillion 400 ikawa kama vile Lissu ndio alisign mikataba!!

Ikaja kesi ya uhujumu uchumi, ona wote waliokamatwa ni wale tu waliokosana na utawala ila wale waliokua mafisadi ila yapo ndani ya mfumo kesi haikuwahusu eg wezi wa Escrow, mafisadi ya Makinikia, wezi wa mabilioni ya NIDA, wezi wa mabilioni ya electronic passport!!

Ikaja issue ya madawa ya kulevya, nikashangaa wanaotajwa ni Mbowe sijui Gwajima yaani watu ambao ni anti government. Same to issue ya kutelekeza watoto akatajwa Lowassa na Msigwa!!

So hata hiyo issue ya kunyonga mafisadi ikija usishangae wanaonyongwa ni Mbowe na Lissu kwa kile kitakachoitwa wizi wa ruzuku ya chama!!
I am certain we can do better than that. What is lacking is the appropriate leadership. Wazalendo wa kweli wanaoijali nchi hii na watu wake kwa dhati ya mioyo yao hawawezi kushindwa kazi hii.

Kwa maigizo tu, tena ya hovyo hovyo kabisa aliyokuwa akiyafanya Magufuli, uliona jinsi waTanzania walivyo tayari kushirikiana na viongozi sahihi wakichukua nchi.
 
Umenena mkuu,watanzania ni wa kulalama tu hasa humu JF, Ile push back hawana ila ni wabobezi wa kujadili yanayotokea Sudan, Uganda, it's craze mkuu
Asiposhughulikia Wezi na Wapigaji wa tozo na kodi na mikopo yetu tutahitaji maandamano makubwa kuwahi kutokea ya kumng'oa huyu Mama na kundi lake.

Na kama amezingirwa na anawaogopa hao wapigaji Samia atupe "signal" hata ya kutukonyeza ili tumsaidia kwa kuandamana hadi Wizara ya fedha huku tukiwa na vidumu vyetu vya petroli ili tukamtie kiberiti mwizi wa tozo zetu.
 
Wakati Abdul Nondo anaandaa Maandamano ya kushinikiza, Mapolisi ya CCM yamemshukia kama Kinyama cha Mwitu.

Sijaona Watanzania wakiongelea na kukemea Serikali kwa uonevu na wizi unaofichwa fichwa huku wale tuliowakabidhi Mamlaka wako bize kukaribishana Futari na kutucheka kuwa wanakula hela ya Wajinga yaani Watanzania.
Dah, huyu ni mkuu 'imhotep'?
Nimekusoma mkuu.

Nadhani wengi wetu ni lazima pia tuseme kwamba hatuwajui wananchi wetu vizuri; lakini tu wepesi sana wa kutoa hukumu kwao.
 
Wakati Vibaka tunawatia kiberiti ni kwanini tunawalea hawa wezi wanaotutia umasikini tangia Uhuru .

Muda umefika sasa wa kuandamana na vidumu vyetu vya petroli hadi majumbani mwao tuwakurupue tuwavalishe matairi halafu watuambie zilipo fedha zetu za tozo na kodi
 
Asiposhughulikia Wezi na Wapigaji wa tozo na kodi na mikopo yetu tutahitaji maandamano makubwa kuwahi kutokea ya kumng'oa huyu Mama na kundi lake.

Na kama amezingirwa na anawaogopa hao wapigaji Samia atupe "signal" hata ya kutukonyeza ili tumsaidia kwa kuandamana hadi Wizara ya fedha huku tukiwa na vidumu vyetu vya petroli ili tukamtie kiberiti mwizi wa tozo zetu.
Kwani unataka awashughulikie vipi, si amekwisha sema "STUPID" na kuwafundisha kwamba wataingia kaburini bila ya hayo mapesa wanayoiba?

Imenibidi nitoe alama ya 'mshangao' kwa andiko lako hili. Wewe unaona wezi huko Hazina, lakini kamwe huna macho kabisa ya kutambua wezi walioko Ikulu!
 
Kwani unataka awashughulikie vipi, si amekwisha sema "STUPID" na kuwafundisha kwamba wataingia kaburini bila ya hayo mapesa wanayoiba?

Imenibidi nitoe alama ya 'mshangao' kwa andiko lako hili. Wewe unaona wezi huko Hazina, lakini kamwe huna macho kabisa ya kutambua wezi walioko Ikulu!
Mkuu wezi wako idara zote kwenye Serikali hii ya CCM lakini siku yao inakuja Mungu aniweke hai.
 
Ndio kanuni zenu hizo za CCM tokea 2009, hata kipindi Cha JPM ilikua hivo hivo ripoti inatoka alafu mapendekezo yanasubiri bunge la baada ya bajeti hukoo in fact zamani ilikua bunge la January kabisa. Nashangaa watu mapovu ilihali miaka yote ipo hivi, lazima watuhumiwa wajitetee mbele ya kamati na ndio inayokula muda maana kesi Moja Moja mpka ziishe siku 90 plus
Huu umekuwa ni utaratibu wa maigizo usiokuwa na manufaa yoyote, tena imekuwa ni kama njia ya kuwalinda hao wezi.
 
Back
Top Bottom