Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
Mijadala inaendelea kila mahali sasa hivi watu wakijadili yale yalioandikwa kwenye Ripoti ya CAG.
Kwa sehemu kubwa yanayojadiliwa ni madudu yaliyoko kwenye taasisi za umma.
Jambo la kufurahisha ni kwamba tayari kuna hatua zimeanza kuchukuliwa kuwawajijibisha waliotafuna pesa za Umma.
Wizara ya Nishati imetangaza kufukuzwa kwa vigogo wa TAN OIL, Wizara ya Fedha imesema waliohusika kwenye kuongeza fedha za manunuzi ya ndege watawajibika.
Lakini hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya uwazi wa Rais Samia Suluhu kwa maana kwamba inaonesha jinsi gani yeye ni kiongozi anayependa uwazi.
Huko nyuma CAG alikuwa anaogopa kusema madudu ya Serikali, tunakumbuka kilichotokea kwa Assad. Lakini sasa Rais hana shida na kuambiwa ukweli.
Bila Rais kuruhusu uwazi, madudu yote haya yasingeonekana,
Bila shaka hatua zitafuata kwa kuzingatia sheria za Taznzania.
Kwa sehemu kubwa yanayojadiliwa ni madudu yaliyoko kwenye taasisi za umma.
Jambo la kufurahisha ni kwamba tayari kuna hatua zimeanza kuchukuliwa kuwawajijibisha waliotafuna pesa za Umma.
Wizara ya Nishati imetangaza kufukuzwa kwa vigogo wa TAN OIL, Wizara ya Fedha imesema waliohusika kwenye kuongeza fedha za manunuzi ya ndege watawajibika.
Lakini hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya uwazi wa Rais Samia Suluhu kwa maana kwamba inaonesha jinsi gani yeye ni kiongozi anayependa uwazi.
Huko nyuma CAG alikuwa anaogopa kusema madudu ya Serikali, tunakumbuka kilichotokea kwa Assad. Lakini sasa Rais hana shida na kuambiwa ukweli.
Bila Rais kuruhusu uwazi, madudu yote haya yasingeonekana,
Bila shaka hatua zitafuata kwa kuzingatia sheria za Taznzania.