Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa.
Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as sasa ndio kuna ufisadi saana, kumbe kwa miaka 10 mfululizo ripoti za CAG zinaonyesha ufisadi na tena nyingine ufisadi mkubwa kuliko huu ambao umepelekea mimi kujiuliza kuwa je, kuna uwezekano sisi Watanzania ni ignorants, fools and very stupid?
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake. Hivyo huko mbele anaweza kuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena pale pale na this time sio akaukwaa na akaanguka tuu, hivyo kuinuka, kujifuta vumbi na kuendelea na safari yake, this time anaweza kujikwaa akaanguka na kutumia hata akashindwa kuinuka na kuendelea na safari yake, hivyo safari ikaishia hapo!.
Hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya matokeo tuu wakati tumeshapigwa na sio chanzo. Siku zote tunasisitiza ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli we need an effective system yenye maximum transparency and accountability, kudhibiti kabla hatujaibiwa na sio mnaipa fedha mijizi, mnaiangalia jinsi inavyotafuna, kisha ndio mnakuja kukagua na kutoa Ripoti ya CAG ya ukaguzi kuonyesha tumeibiwa.
The role ya CAG kama Mdhibiti ni nini? Mbona bado tunaibiwa tuu na kuendelea kufanywa shamba la bibi?
Tena ripoti yenyewe ya CAG ya mwaka uliopita sio mbaya kama ripoti nyingine za CAG za nyuma lakini watu wanashadia na wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo cha madudu haya ni nini na nani? Huu kama sio ignorance, foolishness na stupidity ni nini hiki?
Je, Watanzania ni Ignorants, fools and stupid? Yaani Sisi Watanzania ni Wajinga ma Wapumbavu?
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "Ma-ignorants!", fools na stupid kabisa, yaani wengi wetu vichwani ni watupu kabisa, empty shells, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa. Uwezo wa kufikiri (ogical thinking) na kufanya tafakuri tunduizi (critical analysis) wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana kwa wakati sahihi (to make informed decisions), hali inayopelekea ripoti za CAG kila mwaka kuwa na madudu yale yale mwaka hadi mwaka. Halafu ripoti ya mwaka huu watu ndio wanajifanya wakali, wanashangaa!
Kila ripoti ya CAG inaandamana na mapendekezo ya CAG, Bunge letu linajadili na kutoa Azimio la Bunge, na kuipeleka serikalini kwa utekelezaji, and that's done. There is no follow up ya utekelezaji wala hakuna mrejesho wa nini kimetekekezwa, mpaka ripoti ya CAG ya mwaka inayofuata na madudu yale yale yakijirudia, huu kama sio ujinga ni nini?
Tena tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues na immaterial ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu. Badala ya kudeal na real issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo yatokee, vyanzo havitafutwi, haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi, haviguswi, tuna deal na matokeo tuu!
Mwisho wa siku kuja kuvikamata vidagaa tuu, lakini mapapa na makambale, ya chanzo cha the grand Corruption hawaguswi, ni untouchable, huu kama sio ujinga ni nini? Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama wewe sio mtu wa mastori, then jump to conclusions, wale wa mastori ya Pasco Tuendeleeni.
Ujinga huu wa Watanzania, kutojiuliza chanzo cha tatizo umeanzia wapi na uko wapi?
Hii ignorance, foolishness na stupidity ya baadhi ya Watanzania kushadadia matokeo ya kuibiwa kwa kupiga sana kelele kuwa "Tumeibiwa" badala ya kudeal na chanzo kuzuia tusiibiwe, ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu.
Tuna wabunge mule ni vilaza fools and ignorants wa ajabu hakuna mfano! Ndio maana Mbunge anasoma headline ya gazeti, gazeti limeandika Bunge linajipendekeza kwa serikali? M mbunge kilaza haoni alama ya kuuliza, anasimama Bungeni na gazeti na kumuomba Mhe. Spika muongozo kuwa Bunge limedhalilishwa! Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?, Spika nae anakuwa mkali kweli kweli Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Tuna baadhi ya viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants, fools and stupid sana hadi ndani ya cabinet yetu, kuna baadhi ya mawaziri wetu ni ma ignorants na stupid kabisa! Uthibitisho ni jinsi baadhi ya mawaziri wetu wanavyo vurunda hivyo wengine kutimuliwa na wengine kutumbuliwa kila uchao.
Count the number of mini reshuffles from time to time, hii ni kutokana na udhaifu kwenye vetting wanampelekea Rais Samia mabomu na Mama anateua. Kuna mawaziri kwenye some few key miniseries ni misfits hivyo soon itafanyika tena reshuffle, na kufuatia uhaba wa capable people, tegemea recycling.
Kwenye hili la udhaifu wa uteuzi, naomba nimuwekee Mama caveat Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Tuna baadhi viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants, fools and very stupid, na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti na hadi baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola, kitu ambacho ni hatari sana, na kuna kipindi (kimepita) hadi baadhi ya wakuu wa mihimili, jambo ambalo ni very dangerous na very risky kwa our national security.
Hii ignorance imekata across the society yetu left, right and centre hadi sisi wana JF pia, wengine wetu humu ni ma ignorants, fools and very stupid people, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant, fool na stupid fulani!
Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuuliza maswali magumu hivi kwa viongozi wake! Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
Je, mtu kuwaita Watanzania wenzako kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid ni kuwatukana?
Kumuita mtu yoyote kuwa ni mjinga, ignorant, fool and stupid, kama huyo mtu sio hivyo, then huko ni kumtukana, lakini kama mtu ni kweli ni mjinga, ni stupid, ni fool, na very stupid, kumuita hivyo sio kumtukana ni kumwambia ukweli.
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijamtukana mtu yoyote wala sijawaita watu ni humu kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Je, aisi Watanzania ni wajinga, ignorants, fools and stupid?
Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants, fools and stupid au la! Kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa? Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka hadi, mwaka kwa kufanyiwa madudu yale yale.
Conclusion and Recommendations
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu;
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa huja na makala za kwa maslahi ya taifa.
Makala ya leo ni jinsi Watanzania wanavyoishadadia Ripoti ya CAG ya mwaka huu kushangalia ufisadi, as sasa ndio kuna ufisadi saana, kumbe kwa miaka 10 mfululizo ripoti za CAG zinaonyesha ufisadi na tena nyingine ufisadi mkubwa kuliko huu ambao umepelekea mimi kujiuliza kuwa je, kuna uwezekano sisi Watanzania ni ignorants, fools and very stupid?
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake. Hivyo huko mbele anaweza kuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena pale pale na this time sio akaukwaa na akaanguka tuu, hivyo kuinuka, kujifuta vumbi na kuendelea na safari yake, this time anaweza kujikwaa akaanguka na kutumia hata akashindwa kuinuka na kuendelea na safari yake, hivyo safari ikaishia hapo!.
Hii Ripoti ya CAG ni ripoti ya matokeo tuu wakati tumeshapigwa na sio chanzo. Siku zote tunasisitiza ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli we need an effective system yenye maximum transparency and accountability, kudhibiti kabla hatujaibiwa na sio mnaipa fedha mijizi, mnaiangalia jinsi inavyotafuna, kisha ndio mnakuja kukagua na kutoa Ripoti ya CAG ya ukaguzi kuonyesha tumeibiwa.
The role ya CAG kama Mdhibiti ni nini? Mbona bado tunaibiwa tuu na kuendelea kufanywa shamba la bibi?
Tena ripoti yenyewe ya CAG ya mwaka uliopita sio mbaya kama ripoti nyingine za CAG za nyuma lakini watu wanashadia na wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo cha madudu haya ni nini na nani? Huu kama sio ignorance, foolishness na stupidity ni nini hiki?
Je, Watanzania ni Ignorants, fools and stupid? Yaani Sisi Watanzania ni Wajinga ma Wapumbavu?
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "Ma-ignorants!", fools na stupid kabisa, yaani wengi wetu vichwani ni watupu kabisa, empty shells, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa. Uwezo wa kufikiri (ogical thinking) na kufanya tafakuri tunduizi (critical analysis) wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana kwa wakati sahihi (to make informed decisions), hali inayopelekea ripoti za CAG kila mwaka kuwa na madudu yale yale mwaka hadi mwaka. Halafu ripoti ya mwaka huu watu ndio wanajifanya wakali, wanashangaa!
Kila ripoti ya CAG inaandamana na mapendekezo ya CAG, Bunge letu linajadili na kutoa Azimio la Bunge, na kuipeleka serikalini kwa utekelezaji, and that's done. There is no follow up ya utekelezaji wala hakuna mrejesho wa nini kimetekekezwa, mpaka ripoti ya CAG ya mwaka inayofuata na madudu yale yale yakijirudia, huu kama sio ujinga ni nini?
Tena tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues na immaterial ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu. Badala ya kudeal na real issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo yatokee, vyanzo havitafutwi, haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi, haviguswi, tuna deal na matokeo tuu!
Mwisho wa siku kuja kuvikamata vidagaa tuu, lakini mapapa na makambale, ya chanzo cha the grand Corruption hawaguswi, ni untouchable, huu kama sio ujinga ni nini? Mimi ni mtu wa mastori mastori, kama wewe sio mtu wa mastori, then jump to conclusions, wale wa mastori ya Pasco Tuendeleeni.
Ujinga huu wa Watanzania, kutojiuliza chanzo cha tatizo umeanzia wapi na uko wapi?
Hii ignorance, foolishness na stupidity ya baadhi ya Watanzania kushadadia matokeo ya kuibiwa kwa kupiga sana kelele kuwa "Tumeibiwa" badala ya kudeal na chanzo kuzuia tusiibiwe, ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu.
Tuna wabunge mule ni vilaza fools and ignorants wa ajabu hakuna mfano! Ndio maana Mbunge anasoma headline ya gazeti, gazeti limeandika Bunge linajipendekeza kwa serikali? M mbunge kilaza haoni alama ya kuuliza, anasimama Bungeni na gazeti na kumuomba Mhe. Spika muongozo kuwa Bunge limedhalilishwa! Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?, Spika nae anakuwa mkali kweli kweli Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Tuna baadhi ya viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants, fools and stupid sana hadi ndani ya cabinet yetu, kuna baadhi ya mawaziri wetu ni ma ignorants na stupid kabisa! Uthibitisho ni jinsi baadhi ya mawaziri wetu wanavyo vurunda hivyo wengine kutimuliwa na wengine kutumbuliwa kila uchao.
Count the number of mini reshuffles from time to time, hii ni kutokana na udhaifu kwenye vetting wanampelekea Rais Samia mabomu na Mama anateua. Kuna mawaziri kwenye some few key miniseries ni misfits hivyo soon itafanyika tena reshuffle, na kufuatia uhaba wa capable people, tegemea recycling.
Kwenye hili la udhaifu wa uteuzi, naomba nimuwekee Mama caveat Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda
Tuna baadhi viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants, fools and very stupid, na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti na hadi baadhi ya wakuu wa vyombo vya dola, kitu ambacho ni hatari sana, na kuna kipindi (kimepita) hadi baadhi ya wakuu wa mihimili, jambo ambalo ni very dangerous na very risky kwa our national security.
Hii ignorance imekata across the society yetu left, right and centre hadi sisi wana JF pia, wengine wetu humu ni ma ignorants, fools and very stupid people, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant, fool na stupid fulani!
Mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuuliza maswali magumu hivi kwa viongozi wake! Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli
Je, mtu kuwaita Watanzania wenzako kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid ni kuwatukana?
Kumuita mtu yoyote kuwa ni mjinga, ignorant, fool and stupid, kama huyo mtu sio hivyo, then huko ni kumtukana, lakini kama mtu ni kweli ni mjinga, ni stupid, ni fool, na very stupid, kumuita hivyo sio kumtukana ni kumwambia ukweli.
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijamtukana mtu yoyote wala sijawaita watu ni humu kuwa ni wajinga, ignorants, fools and stupid, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Je, aisi Watanzania ni wajinga, ignorants, fools and stupid?
Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants, fools and stupid au la! Kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa? Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya kwenye ripoti ya CAG ya mwaka hadi, mwaka kwa kufanyiwa madudu yale yale.
Conclusion and Recommendations
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu;
- Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget.
- Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
- Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
- Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
- Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
- Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?
- CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
- Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
- Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
- Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
- Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
- Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
- Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
- Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
- Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!
- Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu.
- Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
- Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
- Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
- Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.