Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Jumla ya masanduku 45 yamekaguliwa katika,dosari zimejitokeza katika masanduku yote ya maeneo 6 kama yalivyobainishwa na upande wa Raila Odinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh huenda uchaguz ukarudiwa nini.....?Ruto mwizi sana na mjanja sana,amecheza na mifumo ya uchaguzi na kumuweka kwapani mtangaza matokeo-Chibukati.
Nitairudia hii comment baada ya ruling jumatatuRuto mwizi sana na mjanja sana,amecheza na mifumo ya uchaguzi na kumuweka kwapani mtangaza matokeo-Chibukati.
Uchaguzi haiutarudiwa wala hakutakua na recountDuh huenda uchaguz ukarudiwa nini.....?
HahahahahSikujua ruto kujipendekeza kote makanisani akawa mwizi hivi.
Nilimuelewa Bob Wine alishasema kwamba tatizo sio Katiba mpya au Bora bali ni uadilifu wa watu.Haya Bado tuna lakujifunza huko ama ?
Kwanini usisema Raila ndio atakuwa inawezekana chibukati akakamatwa na Ruto akapigwa marufuku kujihusisha na SiasaRuto ndie rais wa kenya ......hii comment yangu ifanyieni lamination mtakuja kuniambia