TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Makusanyo yamepungua?
Ili lifanikiwe yatakiwa Machinga nao wapewe EFD, tofauti na hilo bado zitaendelea vuja maana mwenye duka atatafuta ndugu yake, kisha atampa vitu auze jioni ampe pesaHongera TRA kwa kutoa taarifa JF.
Bado napendekeza usimamizi wa tiketi za mabasi uimarishwe. TRA ishirikiane na Jeshi la Polisi maeneo ya stendi au njiani kufanya ukaguzi wa kushtukiza. Bado hawatoi tiketi hizo.
Pia napendekeza ukusanyaji wa Kodi ya ardhi usimamiwe na TRA kwa niaba ya Wizara ya Ardhi, ilipwe katika mfumo wa LUKU, angalau kwa maneneo maalum kama kariakoo, Masaki, mikocheni, mbezi, baadae usambae kwa wengine in phases.
Pia utafiti ufanyike ili mfanyabiashara alazimike kuwa na LIPA NAMBA, ambayo asilimia fulani ya mauzo yake atumie mfumo huo.
Kwa udhibiti wa biashara kariakoo, uimarishwe, pale bado mapato yanavuja.
Kabisa, vinginevyo inabidi bidhaa ambazo zinaonekana kuuzwa sana na machinga, Kodi yake ipigwe hukohuko bandarini kupunguza hasara ya kukimbizana mitaaniIli lifanikiwe yatakiwa Machinga nao wapewe EFD, tofauti na hilo bado zitaendelea vuja maana mwenye duka atatafuta ndugu yake, kisha atampa vitu auze jioni ampe pesa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Matumizi je!?