Ripoti ya Pentagon 2020 kwenye Bunge la Marekani: Uchina ina jeshi kubwa la maji kuliko Marekani, Tanzania yatajwa

Akili kama hii haipo ccm
 
Mkuu jana sio leo kila jambo na nyakati zake!
"We chose to go to the moon and do other things in this decade, not because they are easy but because they are hard" JF Kennedy speech Sept 12 1962 .
Given the two options Americans have a tendency to chose the hardest route over the simplest one ,it is ,in their spirit.
 
Tatizo mchina ni mchina tu ... mpaka kesho huko China magorofa yanaporomoka sasa sielewi hizo nguvu za kijeshi zinatoka wapi

Ni kweli Wachina ni Wachina ndio maana wamefakiniwa kuunda hypersonic missiles na glide vehicle wakati Marekani bado wanahaha ie hawana makombora hatari kama hayo, Uchina inefanikiwa kurusha roving vehicle mwezini yenye uwezo wa kupiga still colour pictures na video na kuzituma aridhini na cha kushangaza zaidi chombo hicho kilitua the other side of the moon ambayo hainekani Duniani - sasa swali ni: Wachina walifanikiwa vipi kuwezesha chombo hicho kutuma mawasiliano Duniani in real time wakati surface ya Mwezi ina block radio communucation! Miaka ya zamani Urusi iliwahi kutuma chombo chao kwenye orbit ya Mwezi kikazunguka na kupiga picha sehemu ya pili ya Mwezi lakini mawasiliano yalikatika mpaka chombo kilipo rudi upande ambao unaonekana Duniani - zoezi hilo LA Urusi ndilo liliwawezesha Wamerikani baadae na wao kutuma chombo chao kwenye moon orbit lakini hakikuwahi kutuma mawasiliano from the other side of the Moon - the questions is: how did Chinese succeed to maintain seamless communication na chombo Chao wakati kilipo tuwa kwenye other side of the moon? Halafu MTU anakuja na kejeri hapa eti Wachina ni Wachina!! China ndio Taifa pekee Duniani an independent orbiting station kwenye outer space, juzi juzi hapa Wachina wamerusha chombo cha kwenda kwenye Sayari ya Mars kinategemewa kufika katikati ya mwaka ujao, Wachina ndilo lilikuwa Taifa la tatu Duniani kulipuwa thermonuclear bombs in early 1960s - hivi sasa wanamiliki thermonuclear laden ICBM zenye uwezo wa kushambulia bara la Merikani pake itakapo bidi, wanamiliki vile vile aircraft carrier killer anti ship missiles zenye uwezo mkubwa wa kuzamisha carrier group nzima na hii haijarishi kama meli zenyewe zipo pwani ya Uchina au katikati ya bahari ya Pacific , in case war breaks out Amerika itapata hali ngumu sana kuwadhibiti Wachina na marafiki wake wa siri watakao wapatia Wachina a 200MT thermonuclear laden submarine drones za kumaliza kabisa Navy nzima ya Merikani na kuwakata ngebe, ukweli huo Uncle SAM anaujuwa sana we sema sikio LA kufa huwa halisikii dawa.
 
Asee hata mm niliona aljazeera wakizungumzia hilo.
China ni taifa pekee mpinzani wa USA.
Nilikua natizama kipindi cha aljazeera kinaitwa "the coming war in china" ikielezea namna China kuanzia miaka ya 1930 alivyovunja utawala wa USA Asia mdogo mdogo mpaka sasa anaendelea kuvunja utawala wa dunia wa USA.
Ndio maana USA anamuundia tume ya makombora mazito China katika visiwa vya marshall island.
 
lakini tukumbuke wanasiasa wengi sana wa US wamepeleka technolojia yao uchina, hata viwanda vyao vingi wameviacha viende uchina hivyo kuipa china nafuu na nguvu ya kiuchumi............


pia, kulikua na taarifa kwamba kuna wanasiasa na wana usalama wa US walikua wanauza taarifa nyeti uchina, either direct au kwa kupitia 'wanafunzi' wa uchina waliokuepo US........


that being said, hii ripoti inawezekana ina malengo ya kisiasa..... a vote for biden is a vote for china!
 
Mkuu hizo porojo tu mbabe wa vita mbabe wa Majeshi ni Japan 🇯🇵 Asia yote. UN marekani mwenyewe wanalijua hilo hata jeshi lako JWT wanalijua hilo tafuta hii movies pearl harbor.huyo Mchina wako anaeweza kuwa na jeshi kubwa Lakin wanajeshi wake wengi wao ni vilaza
 

Basically China has overtaken America militarily.
 
Kama unakumbuka ya Saddam ndo hayo hayo , pengine mchina anaundiwa zengwe kwa kuambiwa ana vitu ambavyo pengine kiuhalisia hata hana,
China haina nguvu kubwa Kama ilivyo Marekani au Russia kijeshi lakini China ni yenye nguvu kubwa Sana na NI dhambi kuifansnisha no na Iraq ya sadam
 
Mkuu habari...
Nimeupitia tena huu uzi...
Je Uchina ina jipanga bado, maana kwa kitu kilichotokea wakati spika wa bunge la Marekani alivyo enda Taiwan Kwa nguvu ijapokuwa China ilikataa...
 
Dah!...uzi mzuri Sana wa mwaka huo....nadhani uvamizi wa Urusi huko Ukraine umezipa muda China, Taiwan na US kujitathmini kipi kitatokea iwapo mgogoro utazuka kati yao.
T14 Armata Mag3 dudus Yoda
 
Dah!...uzi mzuri Sana wa mwaka huo....nadhani uvamizi wa Urusi huko Ukraine umezipa muda China, Taiwan na US kujitathmini kipi kitatokea iwapo mgogoro utazuka kati yao.
T14 Armata Mag3 dudus Yoda
China ina quantity ila haina quality. Uwezo wa jeshi la maji huwa tunaupima kwa displacement sio kwa idadi ya vessels. Iran ina speed boats na missile boats nyingi sana, unaweza jumlisha boats zaidi ya 100 ila ukijumlisha displacement yake ni sawa na Ticonderoga class cruiser moja ya Marekani.

Marekani inaunda meli kubwa chache, China inaunda meli ndogo ndogo nyingi hivyo lazima iwe na idadi kubwa. Na tulinganishe doctrines zao, wakati Marekani inaunda meli ziweze kutoka kwake kwenda kutunishiana misuli kona zote za dunia, China inaunda meli kulinda straits zake pale South China sea na Indian ocean. Hutoona meli za China karibu na Marekani ila kukuta meli za Marekani karibu na South Africa, Iran, Pakistan, Australia au popote duniani ni kawaida sana. Sasa huwezi kuwa na meli za kazi kama hiyo kisha ziwe ndogo. Linganisha aircraft carriers za Marekani na latest ya China.

Ila Navy ya China inakua haraka sana, tena hiyo report ni ya 2020 na niliisoma ila kwa mwaka huu speed ya ukuaji ni kubwa kuliko. Kuna destroyers tano zinaundwa kwa wakati mmoja sasa hivi kwenye shipyards za China.

Mkuu MALCOM LUMUMBA kesho Zhuhai Airshow inaanza ifuatilie. Kuna silaha mpya za China zitaonyeshwa na ndio nataka once and for all niamini nani mkubwa kati ya jeshi la Urusi na China
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…