Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Keep it up Dr Mwakyembe na kamati yako,mungu awabariki muwe na msimamo dhabiti
 

Yaani hapo Dr Mwakyembe ameongea na MSOMI, Mtu anayejua NINI maana ya BUNGE, MAJUKUMU ya KUWA KIONGOZI, MZEE MWENYE BUSARA na MPENDA MAENDELEO....

Safi Sana...kwa mara ya kwanza MB wa CCM anaona UOZO na anaupa jina hilo hilo UOZO.
 
Jamani eeh. Hili suala ni pana sana nimeisikia ripoti pale bungeni alipokuwa anisoma Mtetezi wa wanyonge Mh. Dk Mwakyembe nimepata na mshtuko na kilio baada ya kugundua kuwa hata TAKUKURU (TAKUKURUNDO taasisi ya kuzuia rushwa ndogondogo) nao wanahusika pamoja na ofisi ya mwanasheria mkuu. Sasa wataweza kweli kushughulikia suala la BoT na mheshimiwa ndiyo hivyo hilo suala ameliweka mikononi mwao
 
Jamaa wanasema wao ni wapambanaji watapigana hadi "Risasi" ya mwisho. Hawajiuzulu labda "maiti" yake. KWAHERINI
 
Good indeed Dr.Mwakyembe!Live long.Ripoti zote ziwe zinaanikwa,Bado tunasubiri BUZWAGI NA BOT nao waanike jamvini
 
Jamaa wanasema wao ni wapambanaji watapigana hadi "Risasi" ya mwisho. Hawajiuzulu labda "maiti" yake. KWAHERINI
 
Mie nadhani nimapema mno kuanza kutabiri kitakachotokea,tusubiri kitakachojiri leo kwenye kikao cha wabunge wa ccm,kikao cha baraza la mawaziri,na uelekeo wowte wa kisiasa,unaoweza kutokea muda wowote kuanzia leo mpka kesho saa tatu asubuhi
 
Jamaa wanasema wao ni wapambanaji watapigana hadi "Risasi" ya mwisho. Hawajiuzulu labda "maiti" yake. KWAHERINI

Mmmhhhh!!!! Kazi ipo kweli. Wakikataa si watakuwa fired? Labda kama wana ubia na JK.

Inabidi bunge lianze na Rostam. Nategemea upinzani wapigilie misumari kweli kweli kwa Lowassa, Msabaha, karamangi na Hosea. Lakini wasisahau kuomba Rostam achukuliwe hatua na bunge.
 
Mnyika, asante sana Mkuu kazi umeifanya na sisi ambao ilitupitia pembeni tumeweza kuipata na kuisoma......

WanaJambo wenzangu, sijui niseme ni mimi au kuna topic nyingi ambazo Dr Mwakyembe na Kamati Teule wameonyesha ambayo tuna kazi kubwa ya kuyatolea hoja..... Mungu atusaidie tufike tuendapo!!!!

Halisi, pia nakushukuru kwa kutuweka katika mkao wa kula. Kweli JF tuna waTanzania wenye moyo, endeleeni na moyo wa kutoa info ili tuendelee Kumkoma nyani....

Long live JF!!!
 
Kama kweli Mwakyembe amepiga dongo hilo, sasa asubiri moto wake. Anytime soon anaweza kushangaa kuwa his political career comes to an end, unajua tena mtandao hawana jema na wapenda mema.
Hata hivyo JK ameshatoa signal kuwa ameweka ngoma uwanjani it is up to wabunge to dance, wanatakiwa kuacha porojo na kufanya kazi tuliyowatuma. Inasikitisha sana madokta, maprofesa na watu wazima na akili zao wanawekwa mkononi na watu wa ajabu, waache porojo wafanye kazi tu! vote of confidence!
 
UWiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiii.
Jamani inatisha! inasikitisha! Cannot believe this! Mkataba usiokuwa na muhuri wa wakili? AMA KWELI BANANA REPUBLIC!
 


Rostam ni mafia...haongeia sana na wala hajipeleki kimbelembele kwenye haya madudu; yeye anatuma wakina Lowassa, Karamagi pamoja na JK mwenyewe wamfanyie kazi zake chafu. Ameitwa na hii kamati teule amekataaa...inathibisha wazi kuwa RA hagusiki; JK anajua hilo, Lowassa anajua, na wabunge wote wanajua.
 
Good indeed Dr.Mwakyembe!Live long.Ripoti zote ziwe zinaanikwa,Bado tunasubiri BUZWAGI NA BOT nao waanike jamvini

Naisubiria Ripoti YA CAG.Kwanini hawakuiweka wazi?
 
Kweli nimesikia mkakati ni mzito, Hakuna kuachia ngazi ndio kauli mbiu ya mkakati huo!
 

Mtu wa Pwani,

Nani anataka kufa? Watu hawakuwa na imani na hiyo kamati kwamba itawalinda. Kwasasa UKWELI wetu na MLINZI wetu ni JF.

Watu wakiwa na habari wazimwage tu hapa na zitafika zinakotakiwa.

Hiki ndio chombo chetu cha ukombozi na tujiandae mwaka 2010 kwa JF kuwa na role kubwa sana kwenye uchaguzi.
 
Wazee kwanza kabisa this was one of the reports za uchunguzi in Tanzania I have ever read. Very professional and to the point! Bravo Mwakyembe and your team.

Kwa wananchi wenzangu wote, the moment of truth has arrived, when we shall know if we have a president or otherwise. Honestly I cant give my verdict without giving JK a chance to act.

Talk of incompetence kuanzia kwa Ofisi ya mwanasheria Mkuu? no wonder JK alienda kuomba msaada wa wanasheria ulaya!!. This is slap in the face of tax payers. Talk of Hosea and his Ofisi, I mean if at all JK will do anything, he has a whole lot to do!

Lowassa? jamani yaani kweli with due respect you have done this to your fellow compatriots who are dying for lack of aspirin? and you pocket 152M everyday for two years?

Hivi waungwana as a nation kweli tunakwenda wapi? kama mtu aliyekabidhiwa treasury yote ya nchi ndo anakuwa mwizi hivi?

No way lets wait and see JK how he is going to act. But this is a moment of truth!!! Lowasa this is way too much for a country like Tanzania!!!! No way, Najua watanzania ni vilaza as you falsely assume, but trust me EL you wont go away with this matter!

Tanzania is bigger than LOWASSA!!!!
 
Jamaa wanasema wao ni wapambanaji watapigana hadi "Risasi" ya mwisho. Hawajiuzulu labda "maiti" yake. KWAHERINI

Mie nilitegeme maneno kama haya.I kno ROstam since 2004.Full Mafisoso.Na watalipiza kisasai.People will pay on this na tena hasa Dr. Mwakyembe na wenzakeTuwe Tayari Kumsaidia shujaa wetu na kamati nzima.

Lowa-saaaa you are damn unproffesional,BA Music And Dacing.?te teh Malimu alikuwa hakupendi na sijui kwanini Jk alikupenda?


CCM si Mama Yangu,Kikiacha Itikadi zinazofaa nakiacha
 
JK keshaingia Dodoma Muda Mfupi uliopita...
 
hapo maana yake nikwamba,watajwa wanasubiri pm,ajiuzulu,akikataa,na wao wanakataaa,ndio maana nikasajest tusubiri mpaka kesho asubuhi,maana kuna kitu kinategemewa kutokea usiku wa leo,tutege masikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…