Hata sura they show no remorse yaani wamekomaa na sura mbaya sana za baadhi hapa . Mtahukumiwa na laana na mateso ya Watanzania viwe juu yenu.
My prediction is that . Next MP is Dr.Mwakyembe ama la atachukua uwaziri wa wizara nyeti .
JK hawezi kumpa Mwakyembe u-PM: never!! ... sana sana anaweza kuambulia uwaziri au unaibu waziri. Mwakyembe ana uwezo sana lakini yuko the other side of the bench.