Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

Jamani; Sio Mwakyembe PEKE yake, yumo pia Mh. Seleli, Eng. Manyanya, Mh. Mnyaa,... na Spika aliyewateua!
Mkuu, tunaposema Mwakyembe tuna maanisha kamati nzima iliyofanya kazi ile ya kihistoria.
 
Mbona historia imeshaandikwa kuwa Mwakyembe et al ni mashujaa,wanaotafuta kutakasana na kusafishana wamechelewa kwa kuwa hali halisi inajulikana kuwa tulinyonywa na umeme wa dharura.Hata ile mvua ya kutengeneza nayo itakuwa imejifilia yenyewe maana ring leader yuko chali,miguu juu.
 
Mbona historia imeshaandikwa kuwa Mwakyembe et al ni mashujaa,wanaotafuta kutakasana na kusafishana wamechelewa kwa kuwa hali halisi inajulikana kuwa tulinyonywa na umeme wa dharura.Hata ile mvua ya kutengeneza nayo itakuwa imejifilia yenyewe maana ring leader yuko chali,miguu juu.

Kuhusu mvua mimi nina wasi wasi kidogo nadhani tungemalizwa Watanzania kwa acid ili wenyewe wauze nchi yetu kilaini.
 
Kuhusu mvua mimi nina wasi wasi kidogo nadhani tungemalizwa Watanzania kwa acid ili wenyewe wauze nchi yetu kilaini.

Hii noma kweli,kwa tamaa yako tu unataka uangamize Taifa zima kuongeza tindikali aridhini na wewe uendelee kuponda raha.Sijui hao wataalam wa kutengeneza mvua wa THAILAND waliishia wapi.Nadhani pia mwenyezi aliamua kutunusuru kuleta mvua ya asili hadi Bwawa la mtera likajaa na kupumua kabisa hadi nje.
 
Tawile,
hao wanaohoji kauli ya Mwakyembe wanataka kututoa nje ya mjadala, kuna ukweli mwingi kwenye kauli yake kuwa kuna mahali walihitaji kulinda heshima ya serikali, na hii sio kwa Tanzania tu. Tume nyingi za nchi za wenzetu wanapofikia hatua kuwa ukweli unaweza kulihaibisha taifa huwa wanachagua kukaa kimya na kubebesha msalaba wale waliopelekea tukio hilo la fedheha kutokea, badala ya kuanika ukweli kila mtu ajue, kwani mara nyingi ukweli huo unaweza kuiumiza serikali zaidi badala ya kuchukua hatua za kuwasulubu wale wachache waliopelekea hicho kilichotokea kitokee.
 
Jamani hilo la shujaa wetu Mwakyembe kwakweli haina ubishi! Nimefurahi leo asubuhi nilikuwa nasikiliza redio mtangazji akawa anasema bila wasi wasi kwamba picha ina muonyesha shujaa wetu wa Richmondi.. Dr Mwakyembe.

Hizo mbinu za mafisadi zimepiga chini, wala hawawezi, sana sana walio kuwa wamejiandaa kuwasafisha nawaonea huruma kwani wamejikuta wakichafuka na wao badala ya kuwasafisha mafisadi!
 
1. Dr Mwakyembe reminded the House that he chaired a parliamentary select committee formed last year to look into the circumstances under which the government awarded Richmond Development Corporation the power generating contract.

2. However, if some MPs are dissatisfied with any decisions made on this (Richmond saga) issue, we should agree to annul the provisions prohibiting us from deliberating on the matter to allow them to speak their minds.``

3. He said if the House decided that way, ``then it will be only fair for the parliamentary select committee to spill the beans by saying even those things we decided not to reveal as a way of safeguarding the government`s integrity``.

4. Members of the committee were more than ready to relinquish their legislative seats if it were proved that they implicated anyone in their report out of sheer malice, Dr Mwakyembe noted.

5. He urged those out to ``cleanse`` government officials named in the report to be ready to surrender all their leadership positions if they fail to prove that those mentioned were unfairly treated.
 
Quote:- Bubu

Hivyo alichotakiwa kufanya Mwakyembe ni kuandika kila kitu ambacho waligundua wakati wa uchunguzi wao bila kubakisha chochote kwa minajili ya 'kulinda heshima ya serikali'. Kwa maoni yangu serikali inakuwa haina heshima kwa wale inawaongoza pindi mtu mwenye wadhifa mkubwa kama Waziri Mkuu anahusishwa na tuhuma nzito za Richmond kwa namna moja au nyingine.

Alichofanya Mwakyembe pamoja na kamati yake ya kujipa madaraka ambayo hawakuwa nayo kuhusu nini cha kuandika ni makosa. Pamoja na kuwa walifanya kazi nzuri kuna baadhi yetu tunaona kuna haki ya kuwakosoa na pia watufahamishe hayo waliyaacha ili 'kulinda heshima' ya serikali ni yapi.



Quote:- Daily News & Lusekelo

1. Dr Mwakyembe reminded the House that he chaired a parliamentary select committee formed last year to look into the circumstances under which the government awarded Richmond Development Corporation the power generating contract.

2. However, if some MPs are dissatisfied with any decisions made on this (Richmond saga) issue, we should agree to annul the provisions prohibiting us from deliberating on the matter to allow them to speak their minds.``
 
FMES: Umejenga hoja zako vizuri sana katika kujibu hoja zangu kuhusu mapungufu ya report ya kamati na namna Mwakyembe alivyowasilisha report yao. Naheshimu maoni yako japokuwa sikubaliani nayo. Of course, nimesikitika kwamba wewe ni miongoni mwa watu wachache kabisa ambao hadi leo hawajaona mapungufu na makosa ya report ya akina Mwakyembe na jinsi ambavyo iliwasilishwa, na hasa kauli yake ya hivi karibuni. Hata hivyo nafurahi kwamba unakiri kwamba kama akina Lowasa wangeenda mbele za vyombo vya sheria kitendo cha kamati kutokumhoji Loawasa kingeleta mshikeli. Anyways, katika hili jambo tukubaliane kutokukubaliana.

Katika hoja zako nimeshtuka na kusikitika kidogo pale ulipojaribu kuonyesha kwamba maoni yangu nimeyatoa kwa kuzingatia zaidi kwamba Mwakyembe ni mbunge wa CCM na mimi nipo oppositon. Kama nimekuelewa vibaya utanisamehe, lakini kama nimekuelewa ulivyokusudia na ulivyosema, basi kuna tatizo. Nisema tu kwamba ifike mahala tuyachukulie mawazo ya mtu kama yeye bila kulazimika kuyaegemesha upande wowote wa imani au ufuasi wake iwe ni wa kidini, chama cha siasa, anapotoka, etc. Yaani tuaminiane katika misimamo.

Mimi yote ninayoyaongea kuhusu Mwakyembe ni vile uelewa wangu unavyonituma na hakuna uhusiano kabisa na msimamo wa chadema au opposition kwa ujumla juu ya jambo hili. FYI: My independent thinking has and will never be influenced or affected by my alligiance to a political party or any other membership. I cherish and passionately believe in freedom of expression and, as scuh, I strongly condemn any attempt or effort to curtail individuals' capacity and freedom to think and express their ideas independently.
 
naomba turejee tena kwenye sentensi iliyoleta utata, bubu r u sure Mwakei alisema.........
hakuyaandika katika ripoti ile ili 'kulinda heshima' ya serikali wayajadili kwa mapana na marefu.
 
Mwakyembe ametufaa sana,na ni miongoni mwa watanzania wachache ambao wameweza kuweka masilahi ya taifa mbele.
 
mwakyembe katimiza wajibu wake lakini hakuutimiza kikamilifu, ni mchapakazi lakini sio shujaa.
 


He said if the House decided that way, ``then it will be only fair for the parliamentary select committee to spill the beans by saying even those things we decided not to reveal as a way of safeguarding the government`s integrity``.


So here we go then. Now we know, from Mwakyembe's mouth, that the committee did indeed hide part of the truth of their findings not for the fear of breaking or protecting any law whatsover, as some people here wanted us to believe, but "as way of safeguarding the government's integrity". Again, ubsurdly and somewhat ludicrous, the committee, working on behalf of the parliament, which is supposedly a representative of the wananchi, not the government, was so much concerned with the "integrity" and interest of the Government and not that of the public it was sworn to uphold and protect!
 
I strongly condemn any attempt or effort to curtail individuals' capacity and freedom to think and express their ideas independently.

Mkuu Kitila,

Kwanza nikupe heshima kubwa sana kwa kujibu kistaarabu, halafu ninaomba nirudie tena kuwa kama kuna mushkelli kwenye kamati ya Mwakyembe ni ndogo sana ambayo hai-amount to yeye kurushiwa majina mengi alipewa na watu kwenye hii topic, ni ishu ambayo sio ishu ya siasa na hii kamati na ni ishu iko very clear,

Kuwa Mwakyembe hakumuita Lowassa, kwenye kamati, na ametoa utetezi wa kutosha na unao-make sense, kwamba Lowassa hakuwa mtuhumiwa wala the reason ya kuanzishwa kwa kamati, Legally hii ishu ingekuwa valid kama Lowassa angefikishwa mahakamani, ingekuwa valid sio kwa misingi ya kumsafisha, hapana ni kwa misingi ya kuendelea kusikilizwa kwa kesi na mikono ya sheria, kamati haikuwa na nguvu zozote kisheria, ndio maana huwezi ku-raise any complain za kisheria on its findings,

Kuhusu hii statement yako hapo juu, ninaomba mjaribu tu kuelewa kuwa ina-apply kwa pande mbili na sio moja tu, kujaribu kuilazimisha iwe ina-work on only one side kwa sababu za kusidiwa ukweli au hoja, ni dalili kama za Lowassa kujaribu kutafuta nia ya kutokea, kwa kuchanganya ishu za legal ndani ya siasa.

Ahsante Mkuu!
 
Quote:- Kitila

So here we go then. Now we know, from Mwakyembe's mouth, that the committee did indeed hide part of the truth of their findings not for the fear of breaking or protecting any law whatsover, as some people here wanted us to believe, but "as way of safeguarding the government's integrity". Again, ubsurdly and somewhat ludicrous, the committee, working on behalf of the parliament, which is supposedly a representative of the wananchi, not the government, was so much concerned with the "integrity" and interest of the Government and not that of the public it was sworn to uphold and protect!


Quote:- Fact

2. However, if some MPs are dissatisfied with any decisions made on this (Richmond saga) issue, we should agree to annul the provisions prohibiting us from deliberating on the matter to allow them to speak their minds.``
 
mwakyembe katimiza wajibu wake lakini hakuutimiza kikamilifu, ni mchapakazi lakini sio shujaa.


Hii ni summary ya kutosha kuhusu kazi ya Mwakyembe. Lakini bado tunaweza kumwacha kwenye orodha yetu ya mashujaa. Tusiogope kuwaita watu mashujaa kwa sababu ushujaa sio sainthood. Sina maana yake nzuri kwa kiswahili, lakini nafikiri kiingereza chake ni hero, na kwa mujibu wa kamusi ya Oxford neno hero maana yake ni hii:

"a person who is admired for their courage or outstanding achievements".

Mpaka hapo tunaona kwamba sote sisi hapa JF, na nafikiri watanzania wengi wanaochukua ufisadi, tunamu-admire sana Mwakyembe kwa kuthubutu. So, tunaweza kusema kuwa yeye bado ni hero/shujaa.
 
Quote:- Fact

2. However, if some MPs are dissatisfied with any decisions made on this (Richmond saga) issue, we should agree to annul the provisions prohibiting us from deliberating on the matter to allow them to speak their minds.``


Siri ya SIRI KALI!!!! Then why form a committee to investigate any wrong doings in the famous contract between Ricmond and TANESCO while you know that you'll be prohibited from discussing some of the findings!!! 😕

It is just another form of usanii and wastage of resources. WE WANT A FULL REPORT.
 
Kama kuna mchango muhimu kwa Taifa letu umefanywa na Bunge, ni Ripoti ya Kamati ya Mwakyembe. Imefufua matumaini ya Watz wote na kuchochea uwazi na uwajibikaji kwa viiongozi waliokuwa wanakula bila kujali, bila kunawa na kufuta midomo yao. Leo, kuanza mjadala wa kusema Mwakyembe hafai eti kwa sababu ya maneno mawili aliyotumia akiwashughulikia mafisadi, ni utoto kama siyo umamluki. Kwanza sijui kama tulimwelewa vema mwanasheria huyo. Pili, kulinda heshima ya Serikali ni dhana ya kila kiongozi aliyeapishwa. Inaweza kuwa si dhana ya wana JF, lakini huo ndo ukweli. Lakini cha msingi, utamuuaje Jemadari aliyepiganisha vita tukashinda ati kwa maneno mawili usiyoyaelewa vizuri aliyosema baada ya ushindi? Chonde chonde, tusiingie mtego wa kuwasafisha akina Lowassa, Karamagi, Rostam na Mzee wa Vijisenti kwa kuwalaumu bila sababun ya msingi waanzilishi wa mapambano marefu na magumu ya ukombozi wa TZ.



Kweli kabisa Yeye MWakyembe ni mtu mwenye uchungu na nchi yake Sio lazima yeye pekee ndio aseme na afanye kila kitu,Labda tu wange jitokeza na wakina mwakyembe wengine na wao waseme na kuleta mabadiliko.
Binafsi namshukuru sana maana kaonyesha Ushujaa bila kuogopa mtu.
Big UP Mwakyembe.
 
Siri ya SIRI KALI!!!! Then why form a committee to investigate any wrong doings in the famous contract between Ricmond and TANESCO while you know that you'll be prohibited from discussing some of the findings!!! 😕

It is just another form of usanii and wastage of resources. WE WANT A FULL REPORT.

Bubu message sent, tuseme wabunge hawakugaiwa ful-report, walisomewa ile summary basi wakatosheka!!?? Ukweli haufichiki na utaendelea kusimama daima dumu hata ukitwistiwa kwa maneno mengi kiasi gani.
 
Any attempt ya kuiweka uchi serikali ingeresult into political instability. unaweza ukapapambana na watu but not the system. Mheshimiwa alijaribu kuilinda system. Amejitahidi jamani.
 
Back
Top Bottom