Ripoti ya Sky News kuhusu Magufuli na COVID-19

Hawawezi kurudi tena kuongelea swala hili.

Mabeberu hao hawatutakii mema hata siku moja.

Mshambulizi wetu kaucheza na bao kalifunga.......majirani zetu wamebaki kutafuta mpira na mpaka sasa hawauoni.
mrembo upo ?
 
Serikali ilijitoa, sasa hivi korona ni ishu ya kila familia kujijua kivyakevyake
Hatuna takwimu halisi za kiwango cha korona nchini
Kwenye level ya familia na ukoo wako, kuna wagonjwa wangapi..!? Unakosali/unakoswali je, wapo wangapi!? Majirani zako wapo wangapi walioathirika!? Unakofanya kazi je, kuna wagonjwa!? Etc... KAMA KILA MMOJA WETU MAENEO HAYO HANA MTU ANAYEUMWA, BASI HAIPO..!!
 
Eti wanasema ni nchi ya demokrasia, hawawezi kuficha ungonjwa chini ya kapeti kufanya wananchi wao wasife kimya kimya! Tumbafu zao unaweza ficha kifo kweli? Hill li nchi lishajifia kitambooooo! Sisi tunachapa kazi tu!
 
Baada ya kutafakari kwa muda kuhusu hili swala la corona nionavyo mimi ni kwamba:
1. Corona ina athari kubwa kwa watu ambao kinga zao ziko chini. Wazee sana, watu wenye magonjwa ya kudumu kama kisukari, kansa, pressure etc.
2. Kwa nchi za Ulaya na america kutokana na standard of living na huduma za afya kuwa juu zilikuwa/zina wazee wengi na wagonjwa wengi wa hayo magonjwa niliyoyataja hapi juu.
3. Kwa nchi za Africa kutokana na uduni wa huduma za afya wagonjwa wenye hayo magonjwa wako wachache, maana wengi wanakufa kutokana na ukosefu wa huduma za kuwalinda (care servises). Yaani huku kwetu ukiwa na kisukari, cancer, pressure n.k na kama huna uwezo unakufa mara moja. Hivyo hatuna kundi kubwa la watu wanaoishi na haya magonjwa. Hivyo target ya watu wanaofariki na corona ni ndogo sana.
4. Kenya wameamua kufuata mkumbo bila kuangalia demographic data zao. Wataahiri uchumi wao kwa uzembe wa kufikiri.
5. Kuishi na ku survive Africa lazima afya yako iwe vizuri. So tuna population kubwa ya watu ambao afya zao ziko vizuri kuliko wale amabao afya zao haziko vizuri. So.wachache ambao walikuwa wanaishi na afya mgogoro wameondoka au watandoka. Ila majoritytumepata corona na tume survive
 
Ila sky news wanachekesha kwl maana huyo dkt waliyesema hataki kujulikana yuko ccm na katia nia jimbo la ubunge...waendelee analysis yao
 
Ni kama hujui usemalo!

Yani kwa lugha nyepesi hujielewi
 
Mkuu,hapa unaruka ruka kama maharage ,ulitakiwa utoe jibu la moja Kwa moja, je kuna ndugu ,au jamaa yako yeyote alieathirika Kwa namna yeyote na Corona?

Utajuaje umeathirika au la bila kupima hiyo korona?
Huduma za vipimo kwa nchi nzima ni very little.
 
💯%
 
Nawaambia watu kila siku, kama Corona kweli ipo na inaua kama wanavotisha watu duniani, basi vifo vingetuumbuwa tu Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…