Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Nawaambia watu kila siku, kama Corona kweli ipo na inaua kama wanavotisha watu duniani, basi vifo vingetuumbuwa tu Tanzania.
kweli kitambo...sijui kahamia jukwaa gani. Ha ha haaa!it nice to see you Preta
(hatufahamiani)
Hilo halina ubishi!!Nawaambia watu kila siku, kama Corona kweli ipo na inaua kama wanavotisha watu duniani, basi vifo vingetuumbuwa tu Tanzania.
Symptoms za covid19 zimetajwaUtajuaje umeathirika au la bila kupima hiyo korona?
Huduma za vipimo kwa nchi nzima ni very little.
Symptoms za covid19 zimetajwa
Kwa hiyo Membe, Lissu, Zitto, Mbowe, Sugu, Msigwa, Lema, n.k. wote watakufa hivi karibuni eeh?Hakuna symptoms za aina moja za Covid-19, zinatofautiana tofautiana sana
Homa kali, kikohozi chenye maumivu makali na ukosefu wa pumzi. Ukiwa na dalili izi jihesabu ni mgnjwa wa hio kitu.Hakuna symptoms za aina moja za Covid-19, zinatofautiana tofautiana sana
Hiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.
Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.
Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.
Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.
Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu ya orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.
Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!
Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.
Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.
Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.
Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.
Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.
Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.
Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.
Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.
Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.
Sijui wakirudi watasemaje tu!!?
NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....
Hiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.
Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.
Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.
Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.
Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu ya orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.
Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!
Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.
Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.
Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.
Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.
Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.
Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.
Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.
Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.
Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.
Sijui wakirudi watasemaje tu!!?
NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....
Na bado Kuna mtu Ina mtafuta
Coona haipogo!Wewe una Corona au ndugu zako wangapi ni wahanga wa Corona?
Ila ya Lissu ya kupigwa risasi miaka mitatu nyuma ya maana sio? Kweli kuwa nyumbu ni shida!Mambo ya June ya nini leo ?
Wewe hapo ulipo una ngoma?
Kama huna ina maana ngoma haipo?
Ndiyo maana haujafungiwa ndani (locked down) au kuwekwa kwenye curfew sababu hayo magonjwa kwako siyo kitisho cha kulazimisha ufanyiwe hivyo.Sina ndugu aliyewahi kufa kwa Hepatitis B
Haimaanishi kwa mfano kuwa Hepatitis B haipo
Ndugu zako wangapi wamekufa na corona?
Uppo sahihi kabisa mkuu.Tokea shule zifunguliwe ingekua hili janga linaua kama utabiri ulivyotolewa na WHO uko sahihi tungeshazifunga tena.
Vifo vya wanafunzi, wanachuo visingeweza kufichika bila kujulikana.
Tunarudi pale pale, kuugua huu ugonjwa wengi umewapata na hapo kuhusu maambukizi wanaweza kuwa sawa ila kwenye madhara ya vifo, hapana. Sio kwa kiasi kilichotarajiwa.
Unatoaje takwimu sahihi wakati haupimi nchi nzima kwa mara moja? Vile vile kuna watu wanamaambukizi na hawaonyeshi dalili, hizo takwimu zitakua sahihi?
Tulishaambiwa tuishi na Corona kama ilivyo Malaria.
Mambo ya June ya nini leo ?
Wewe si upo US?
UKIMWI una miaka zaidi 40 nchini toka ujulikane na Malaki ya watu kote duniani kufariki lakini Tanzania hakuna mtu hata mmoja aliyekufa kwa ugonjwa huo ila kifua kikuu, saratani na magonjwa mengine yaliua watu wengi sana kipindi hicho. Covid-19 kwa muda mfupi imeua malaki ya watu, mamilioni wakiugua kote duniani ikiwa pamoja na nchi zote zinazotuzunguka lakini kwetu ni watu 4 tu walioambukizwa wakifariki kwa magonjwa ya kawaidà kusitukiza ikiwa ni pamoja ugonjwa wa moyo, cancer nkHiki ni kipande cha ripoti ya Sky News, moja ya shirika la habari la binafsi huko Uingereza.
Ni kipande kilichorushwa tarehe 8 mwezi Juni mwaka huu.
Ni kipande kinachozungumzia jinsi ambavyo Rais Magufuli na serikali yake ilivyoamua kukabiliana na huo ugonjwa wa Coronavirus.
Ni karibu miezi miwili sasa tokea Sky News wairushe hiyo ripoti yao.
Sky News waliirejea hofu ya shirika la afya duniani [WHO] kwamba Tanzania iko juu kwenye orodha ya nchi ambazo shirika hilo la afya lilikuwa na hofu nazo sana.
Miezi miwili kasoro juma moja, maisha bado yanaendelea tu kama kawaida!
Maiti hazijatapakaa mabarabarani. Hakuna makaburi ya halaiki. Spitali hazijajaa wagonjwa. Nikijizungumzia mimi binafsi, hakuna ndugu, jamaa, jirani, wala rafiki ambaye nimempoteza kutokana na hiyo Corona.
Kwa muktadha wa kinachoendelea sasa hivi baina ya Tanzania na Kenya, nadhani kuna kitu ambacho Wakenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ya Magufuli.
Wameamua kukata sijui ndege toka Tanzania. Kuna kipindi sijui walifunga mpaka na Tanzania, na mengineyo.
Ninachokiona toka huko Kenya ni [1] uoga wa viongozi wao na [2] ukosefu wa uthabiti katika maamuzi yao.
Ni kama vile Kenya inaiga mataifa ya Ulaya na Marekani, kwa jinsi ilivyoamua kukabiliana na hiyo Coronavirus.
Tokea dunia ikumbwe na hilo janga, ni karibu miezi 6 sasa au hata na zaidi.
Kama yangekuwepo madhara makubwa sana basi yasingeweza kufichika kabisa.
Haiwezekani kuficha vifo na maradhi. Watanzania tulio wengi hatujaathirika na hiyo Corona. Maisha yetu yanaenda kama kawaida.
Hofu ya WHO haijatimizika. Natamani hao Sky News warudi tena Tanzania baada ya miezi miwili tokea warushe hicho kipande cha habari yao. Natamani warudi waje kufanya ‘follow-up’.
Sijui wakirudi watasemaje tu!!?
NB: Baadhi ya tafsiri zao za watu walioongea Kiswahili katika hii video yao Naona ni kama hazipo sahihi.....