Ripoti ya Tume ya Lowasa kuhisu Majengo ilifanyiwa kazi?

Ripoti ya Tume ya Lowasa kuhisu Majengo ilifanyiwa kazi?

ni muhimu sala,maombi na jitihada za kila mTanzania zikaelekezwa katika kuwaombea wenzetu Mwenyezi Mungu awanusuru na dhahama wanayoipitia chini ya vifusi vya jengo lililoporomoka kariokoo..

Mungu atujaalie subra na kusiwe na haraka na mengineyo 🐒
Huo ni upuuzi.
Badala ya kufanya kazi kwa UFASAHA NA UFANISI mnaendekeza RUSHWA NA KUUA ELIMU.
Sala na maombi vingelikuwa vinafanya kazi CCM wangeliwaondoa woooote wanao wakosoa.
 
Huo ni upuuzi.
Badala ya kufanya kazi kwa UFASAHA NA UFANISI mnaendekeza RUSHWA NA KUUA ELIMU.
Sala na maombi vingelikuwa vinafanya kazi CCM wangeliwaondoa woooote wanao wakosoa.
Mungu akubariki sana gentleman, ikiwa sala na maombi kwa Mungu ni upuuzi mtupu...

Hata hivyo,
kama taifa, yafaa kuendelea kumlilia Mungu bila kujali kufuru za wanao puuza sala na ibada.

Tumuombe Mungu aendelee kutufanyia wepesi waTanzania walionasa kwenye vifusi waokolewe salama.

Mungu akubariki sana gentleman 🐒
 
Mungu akubariki sana gentleman, ikiwa sala na maombi kwa Mungu ni upuuzi mtupu...

Hata hivyo,
kama taifa, yafaa kuendelea kumlilia Mungu bila kujali kufuru za wanao puuza sala na ibada.

Tumuombe Mungu aendelee kutufanyia wepesi waTanzania walionasa kwenye vifusi waokolewe salama.

Mungu akubariki sana gentleman 🐒
Hizo sala na maombi vingelikuwa vinafanya kazi msingelikuwa mnashangilia utekaji wa watu wala kuteka watu,maombi tu yangeliwafanya watu wasiwakosoe viongozi wa CCM.

NITAFURAHI SANAAAAAA UKILETA ANDIKO HAPA LIKIELEZEA MAUMIVU ULIYONAYO KUTOKANA NA KUFIWA NDUGU ZAKO WEEEENGIIIIII KUTOKANA NA AJALI YA HILO GHOROFA.
 
Sala na maombi ni muhimu. Hata hivyo, kwa kuwa hatujawahi kusikia wala kuafiki kufanyika kwa sala, dua na maombi yanayoombea wala yanayokusudia kuombea na kukumbatia uzembe; uzembe huu unaothibitika katika taarifa ya media house moja ambapo mwanahanari mmoja anadaiwa kusikika akinukuu; polee,sauti ya mtanzania mwenzetu mmoja akisema bado yupo chini ya kifusi na kuongeza, "mahali hapa nilipo kuna watu 10." Na mara, kwa masikitikiko na simanzi sana tunasikia zinakuja sauti za watu wengi wa jinsi ya kike na kiume kama uthibitisho wa kauli ile ya sauti ya kaka anayeomba msaada kwa ajili na kwa niaba yao wote, ili waweze kuokolewa mapema. Sasa ni mapema gani hii jamani, tukio hili baya la kusikitisha na kububujisha machozi mithili ya bomba la maji, limetokea juzi 15/11/2024 asubuhi. Kwa nini tuendelee kukumbatia uzembe mpaka leo hii Jumapili 17/11/2024? Sauti za wa-Tanzania walipa Kodi wenzetu 10 na pengine zaidi bado zinatoka chini ya kifusiiiii! Wakati Kitengo cha Majanga chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kikijiandaa kwa kuwa ni jambo la dharura, kwa nini Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam isitumie mafungu mengine yaliyopo ya bajeti kuokoa uhai wa ndugu zangu hawa wa-Tanzania wenzetu? Tunaomba sana Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam itupe jibu la swali hili na mengine husika, katika taarifa yake ya baadaye leo, tafadhali.
 
Hizo sala na maombi vingelikuwa vinafanya kazi msingelikuwa mnashangilia utekaji wa watu wala kuteka watu,maombi tu yangeliwafanya watu wasiwakosoe viongozi wa CCM.

NITAFURAHI SANAAAAAA UKILETA ANDIKO HAPA LIKIELEZEA MAUMIVU ULIYONAYO KUTOKANA NA KUFIWA NDUGU ZAKO WEEEENGIIIIII KUTOKANA NA AJALI YA HILO GHOROFA.
neno zingelikua ni kiungo cha ubishi na ukaidi kisichokua na uhakika gentleman ...

Mtu wa aina hiyo yupo zigzag tu, hajui aseme nini wakati gani, adai nini wapi, aama ajadili nini kwa wakati upi ndiyo wewe sasa na wenzako mlivyo dah 🤣
 
Mwaka 2006 Jengo la Chang'ombe Inn liliporomoka pale Keko!
Wakati huo Serikali ya Awamu ya nne ilikiwa ndio kwanza ya moto.
Chini ya Waziri Mkuu Edward Lowasa iliundwa Tume ! Tume ilifanya kazi na kuwasilisha ripoti yake! Nakumbuka mojawapo ya taarifa ya Tume hiyo ilibainisha kuwa majengo mengi Dsm ( ikiowemo Hilo lilolodondoka la Chang'ombe) yamejengwa chini ya kiwango na ...mbaya zaidi bila vibali vya Mamlaka husika!
Tunaoishi kwa matumaini tukajua sasa ujen zi holela itakuwa historia!
Kinyume chake Kariakoo ikaendelea kujengwa ! Magorofa yaliyokuwa Makazi ya watu yakabadilishwa kuwa ya kibiashara! Yaani mtu anakarabati Jengo anaweka fremu, na wengine wamethubutu Hadi kujenga magorofa ya chini...underground floor! Hili halihitaji uwe na Diploma ya Uhandisi kuhoji uhalali na usalama wa hatua hizi!
Bila shaka Wataalam wale walishauri mambo mazuri kuondoka na kadhia hii!
Leo hii yamejirudia Yale Yale tunapoteza watu ! Pale K
isutu Jengo liliporomoka likijijengwa ....tatizo Nini !
Mbona tunakuwa kama wanyama!
Tume huundwa nyuma ya mikamera majibu utayakuta nyuma ya pazia
 
kazi kubwa na ya maana sana iliyoko sasa ni kuwaokoa wahanga waliofunikwa na kifusi cha ghorofa lililoporomoka kariokoo..

Tumuombe Mungu aendelee kutufanyia wepesi na kutuonyesha njiani ili wahanga wengi zaidi walio hai, walionasa kwenye kifusi,waweze kuopolewa.

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Tunaendelea kuomba Mungu awanusuru, huku tukijadili inakuwaje tunakuwa mazombi hivi....lakini tatizo. La kwanza ni wale wapumbavu...kama wewe! wanaendelea kushabikia mfuno mbovu.
 
Back
Top Bottom