Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Taarifa ya uchafuzi wa mto mara na kufa kwa samaki, je taarifa iliyotolewa imejaa siasa au uhalisia?
Au ni mkakati maalum kama tulivyoanza na machinga (wanachafua jiji) tukaja kwa wamasai ngorongoro wamevamia mbuga,
sasa ni zamu ya wanaoishi kandokando ya mito, na pengine hatmaye ni tz nzima, inachafua dunia, tupelekwe sayari nyingine! [emoji119]
Kama kinyesi kimewezekana kuchafua mto, iweje taka za mgodini zishindwe?
View attachment 2156897
View attachment 2156898
View attachment 2156899
Nimecheka kwa sauti at Ng'ombe mmoja anatoa kinyesi Cha kilo 25 kwa siku serious?? Pia Ng'ombe Mmoja anakojoa Lita 21 kwa siku yaani ndoo nzima kubwa ya mkono na sehemu.Hata watanzania mmewaona ni wajinga hampaswi kuwadharau kiasi hikiYaani uamini ripoti ya kijinga namna hiyo??
Angalia ripoti ya ufugaji wa samaki na ng'ombe hapa chini
View attachment 2157203
Kinyesi ya ngo'ombe ni chakula safi cha samakiYaani uamini ripoti ya kijinga namna hiyo??
Angalia ripoti ya ufugaji wa samaki na ng'ombe hapa chini
View attachment 2157203
Muwe mnasoma. Hilo ni kweli na hizi ni ng'ombe za kiswahili. Wa kizungu wanatoa mpaka kilo 45 kwa siku.Nimecheka kwa sauti at Ng'ombe mmoja anatoa kinyesi Cha kilo 25 kwa siku serious?? Pia Ng'ombe Mmoja anakojoa Lita 21 kwa siku yaani ndoo nzima kubwa ya mkono na sehemu.Hata watanzania mmewaona ni wajinga hampaswi kuwadharau kiasi hiki
Kiongozi nisaidie nikajiongezee experience kumbuka practically inaweza isiwe kweli lkn ducumentary inaweza ikawa sawaMuwe mnasoma. Hilo ni kweli na hizi ni ng'ombe za kiswahili. Wa kizungu wanatoa mpaka kilo 45 kwa siku.
Hayo mengine ya ripoti nipo dillema. Ni ngumu kuwaamani wanasiasa kwa sababu tayari washatudanganya kwenye mambo mengi.
Big up Mkuu. Kinachifanyika ni kukwepa kuwawajibisha wenye mgodi. Ukifika pale mgodini kuna maji yanatirishwa kwenye mto. Kamati ilitakiwa ichukue sampuli za maji hayo ili yapimwe na matokeo yake yaambatanishwe na ripoti hiyo kuliko kuwasingizia ng'ombe.Kuna uhasama Kati ya mgodi na WANANCHI ambao hauwezi kuisha kila siku WANANCHI kuuzunguka mgodi WANAFANYA kila wanachoweza ili kujaribu kuvamis na KUPORA madini imelazimika kuweka ulinzi mkubwa Kwa ghalama kubwa.Wazee wa mazingira wamekuwa wakipishana ili kuhakiki hali ya usalama na namna MAJI taka yanavyo tibiwa.
Migodi binafsi inaendelea na Kazi bila TAHADHALI yoyote na hakuna kinachofanyika.
Kuhusu uchafuzi wa MTO taasisi za uchunguzi zinapaswa kuaminika.