Ripoti ya Uchunguzi wa pesa zilizotolewa BoT kupokelewa Juni 30, 2021

Leo hatumwi mtoto dukani. Tukishuhudia transaction za Mstahiki Balozi
 
Mama anapenda kutufurahisha sana watanzania, nahisi leo kuna zawadi ingine tutapatiwa kama ya ile siku yakujiandaa na sikukuu ya Idd.
 
Kuna kitu kinafichwa kuokoa shingo ya mtu.

Kwani hakuna whistle blowers kutoka ofisi ya CAG?

Usinishangae
 
Trust me. Hakuna Jipya mtasomewa blah blah tu halafu yataisha kiblah blah tu. Na ni kwanini iwe jan to march tu?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Jipya. Itasomwa Ngojera na hakuna mtu atachukuliwa hatua atafikishwa ni where

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Yaani serikali ya CCM ijifanyie uchunguzi halafu itoe ripoti inayoichafua serikali??

Hahahahaa jamani eeeh…tutumiage akili zetu tulizozaliwa nazo!
hawa jamaa kutumia akili ni msamiati kwao,ni mwendo wa hisia mwanzo mwisho.
 
Yaani serikali ya CCM ijifanyie uchunguzi halafu itoe ripoti inayoichafua serikali??

Hahahahaa jamani eeeh…tutumiage akili zetu tulizozaliwa nazo!
Brother juzi hapa ilikuwa unanipelekesha na taarifa za kifo cha Bagonza hata Leo unaikandi
Vipi mzigo tayari au?
 
Report inasomwa saa ngapi?
 
Niliuliza Nani kafanya uchunguzi wa Hili la Bot naona kimya basi tujipange kisocho uchumi
 
Updates tafadhali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…