Ripoti ya Umoja wa Mataifa yathibitisha majeshi ya Ukraine kutumia raia kama ngao za kivita

Ripoti ya Umoja wa Mataifa yathibitisha majeshi ya Ukraine kutumia raia kama ngao za kivita

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa Zelensky na majeshi yake ya Ukraine wamekuwa wakiwatumia raia kama ngao za vita.

Umoja huo umetaja mapigano ya maeneo tofauti tofauti ambapo majeshi ya Ukraine yaliwazuia raia wasio na hatia wakiwemo wanawake, wajawazito, wazee, walemavu, wagonjwa, na watoto ili wanajeshi hao wa Ukraine wasishambuliwe na Urusi, wakati huo huo wao waUkraine wakiwashambulia warusi.

Tuliongea sana jambo hili humu, kuwa haya magaidi ya Ukraine yanawatumia raia kama ngao za kivita. Yanahatarisha maisha ya raia. Kuna wapuuzi fulani humu wakawa wakitetea raia kutumika kama ngao. Sasa leo sijui wataweka wapi sura zao wapi, maana UN yao ndio imethibitisha na kuanisha ni wapi na vipi na wakati gani majeshi ya Ukraine yaliwatumia raia wa Ukraine kujikinga na mashambulizi ya Urusi.
====

Screenshot_20220719-091904_Chrome.jpg
SmartSelect_20220719-092013_Chrome.jpg
 
... lete original UN report badala ya viripoti vilivyochakaliwa kutoka vyanzo visivyoeleweka. Au kwa sababu hako kachanzo kamesema ni UN Report unaamini ni ya UN kweli? Tupe link ya hiyo ripoti kwenye tovuti rasmi ya UN.
 
... lete original UN report badala ya viripoti vilivyochakaliwa kutoka vyanzo visivyoeleweka. Au kwa sababu hako kachanzo kamesema ni UN Report unaamini ni ya UN kweli? Tupe link ya hiyo ripoti kwenye tovuti rasmi ya UN.
Ukipewa uko tayari kuipokea au utahamisha magoli??
 
Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa Zelensky na majeshi yake ya Ukraine wamekuwa wakiwatumia raia kama ngao za vita.

Umoja huo umetaja mapigano ya maeneo tofauti tofauti ambapo majeshi ya Ukraine yaliwazuia raia wasio na hatia wakiwemo wanawake, wajawazito, wazee, walemavu, wagonjwa, na watoto ili wanajeshi hao wa Ukraine wasishambuliwe na Urusi, wakati huo huo wao waUkraine wakiwashambulia warusi.

Tuliongea sana jambo hili humu, kuwa haya magaidi ya Ukraine yanawatumia raia kama ngao za kivita. Yanahatarisha maisha ya raia. Kuna wapuuzi fulani humu wakawa wakitetea raia kutumika kama ngao. Sasa leo sijui wataweka wapi sura zao wapi, maana UN yao ndio imethibitisha na kuanisha ni wapi na vipi na wakati gani majeshi ya Ukraine yaliwatumia raia wa Ukraine kujikinga na mashambulizi ya Urusi.
====

View attachment 2296183View attachment 2296184
CC: Annunaki YEHODAYA MK254 britanicca Yoda 'et al'
 
Mpaka hawa nao wamekuharibu,Dunia inaelekea kutamu
Nalog off Z
 
Wswg nashangaa sana Source zinazoletwa na wanaoitetea Urusi kwenye uvamizi wa Taifa jingine wapo radhi hata walete source kutoka pornhub ikiwa tu itatoa taarifa ya kusapoti Uvamizi

Kesho gazeti la Shigongo la RISASI wanatoa taarifa ya kiuchunguzi kudhibitisha Urusi kashaiteka Kyiv na Zelensky kakamatwa huyu unamuona ni feki tena anatoa taarifa kutokea Sinza Kumekucha
 
Wswg nashangaa sana Source zinazoletwa na wanaoitetea Urusi kwenye uvamizi wa Taifa jingine wapo radhi hata walete source kutoka pornhub ikiwa tu itatoa taarifa ya kusapoti Uvamizi

Kesho gazeti la Shigongo la RISASI wanatoa taarifa ya kiuchunguzi kudhibitisha Urusi kashaiteka Kyiv na Zelensky kakamatwa huyu unamuona ni feki tena anatoa taarifa kutokea Sinza Kumekucha
Tulia tuli dawa ikuingie...
 
Source yenyewe inakaa kama porn site, waarabu wa Bongo mnateseka sana na huyu Putin mnayemuabudu.
nilipoona neno porn umelitaja ,nikapata jibu kamili !! Sio nyny ndio wale wafuasi wa [emoji304]. kumbe huwa najishusha hadhi kusoma post zako aise ,kuanzia leo sitasoma post zako.
 
Back
Top Bottom