Ripoti za Ajali za Barabarani kila siku

complex31

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
421
Reaction score
1,289
Kwa muda mrefu sana nimekua nikishuhudia ajali za barabarani na kutokua na juhudi zozote za kielimu kutoka kwa vyombo na taasisi husika kuweka mpango mkakati wa kuzipunguza
Nitakua nikiweka matukio ya ajali yanayitokea kila kukicha Tanzania kusudi tuweze kujua jinsi gani hizi ajali zinamaliza watu pengine zaidi ya zile nchi zilizopo Vitani.
Kwa kuanza na Leo.

Basi la Navil express ajali karibu na mto Rufiji


Ajali mbaya imetokea leo, Novemba 22, wilayani Bunda, Mara, saa 5:00 asubuhi, ambapo watu wanne wamefariki dunia na saba kujeruhiwa, baadhi yao hali zikiwa mbaya.


Tunduma, Mpemba usiku wa leo Nimeshindwa kuweka video kwasababu inatosha sana.
 
Sababu ya Kwanza.
Ni miundombinu hafifu.
Mfano igawa to Tunduma. Aiseee sijawahi ina barabara kama Ile Kwanza ni nyembamba Sana, Pili imechoka ina mashimo mengi na vilaka vingi
 
Hiyo ya basi la Rufiji sababu yake anzia hapa:



Wewe unaona kuna barabara hapo?
 
Usiku wa tarehe 22/11 wamefariki watu wa 5
 
Hii ajali imetokea leo 7/12/2024 Moshi
 
Bus kampuni ya Tahmeed imepata ajali leo 7/12/2024
 
lorry mbili za Kampuni ya SHTL zimegongana mtwara, Dereva mmoja amefariki 7/12/2024
 
Ajali zinapoteza nguvu kazi ya taifa.

90% ya ajali ni uzembe.
 

Chamwino Dodoma jioni ya tarehe 7/12/2024
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…